Tupunguze kuwasakama 'Singo maza'

Tupunguze kuwasakama 'Singo maza'

Acha waendelee kuwasakama na kuwasimanga huku wakitujazia ma paragraph huko nyuma ya keyboard.

Lakini ukija kwenye maisha halisi huku kitaa,,, yaani kila mmoja ana li single maza lake na kama hana analitafuta li single maza lenye chenji zake mjini.
Na ma single maza Wana akili ukikaa nae lazima wewe ndio utaumia ni eiza uwe sex machine kwake na ulee mtoto wake ufaidi vichange vyake.
Na kama single maza hana uwezo basi atafaidi vi hela vyako huku ukimlelea mtoto bila kusahau kazi yako kuu sex machine ya kumridhisha na kufanya anavyotaka.

Maelezo yote hayo lakini single maza hana cha kupoteza Wala hasara kwako wewe hawara na minyegeko yako.

Kumbe Kuna wanaume wanajiuza? Sisi hatuitaji fedha zao, wewe unayejiuza kwao endelea
 
Kumbe Kuna wanaume wanajiuza? Sisi hatuitaji fedha zao, wewe unayejiuza kwao endelea
Huwaoni??? Halafu kama umetokea sehemu wanayojiuza ni lazima ufikirie kila mtu anajiuza.
Na kwa kuwa uko nyuma ya key board usidhani uko sawa kuropoka lolote lile unalojisikia.
Inawezekana maisha yako yamekupa na umeyapa nafasi ya kuropoka lolote bila kufikiria na kuwaza hata kidogoa kisa tu tuko wote jamii forum basi uwe na nafasi ya kuniropokea unavyojisikia.
Mwanaume aliyemamilika hatumii dhihaka hata kidogo na hasa kwa asiye mjua.
Kwa kuwa sinaga muda ngoja nikutupie ignore list.
 
Na wewe wasifie, sisi tumejikita kusema experience na uzoefu wetu na wao
ndio nawasifia hapa:
1.wana maumbo mazuri yaliyopevuka
2.wanajua hardware na software ya mapenzi
3.wanajua maisha na uvumilivu wao ni mkubwa sana
4.wanajua jinsi ya kuvumilia shida
 
Mimi ninajirani singlemother.Alianza kunitega ili nimtongoze lakini Mimi nilimkwepa.Toka nimkwepe alinichukia nikamwambia usiniletee chuki za kipumbavu na ipo siku nitakutandika makofu.Mimi sirudii makombo Mimi.Toka nimwambie hivo akanichukia akawa hanisalimii na Mimi Nikawa simsalimii na maisha yanaendelea.Hii imenifanya niwachukie sana Hawa masinglemothers
Ni kwakuwa huyo singo maza hawezi kuja hapa kujitetea
 
Tulia wewe baba wa kambo, wewe lea hilo toto la mwanaume mwenzio siku huyo single mother akijipata au wewe ukiishiwa hivyo vichenji vyako, anakupiga chini kisha anaenda kutafuta fala mwingine wa aina yako wa kumsaidia kulea mtoto wake huku malipo yake yakiwa ni mbususu tu...
AKA Simp 😃
 
ndio nawasifia hapa:
1.wana maumbo mazuri yaliyopevuka
2.wanajua hardware na software ya mapenzi
3.wanajua maisha na uvumilivu wao ni mkubwa sana
4.wanajua jinsi ya kuvumilia shida

Hongera wanakufaa sana
 
Acha waendelee kuwasakama na kuwasimanga huku wakitujazia ma paragraph huko nyuma ya keyboard.

Lakini ukija kwenye maisha halisi huku kitaa,,, yaani kila mmoja ana li single maza lake na kama hana analitafuta li single maza lenye chenji zake mjini.
Na ma single maza Wana akili ukikaa nae lazima wewe ndio utaumia ni eiza uwe sex machine kwake na ulee mtoto wake ufaidi vichange vyake.
Na kama single maza hana uwezo basi atafaidi vi hela vyako huku ukimlelea mtoto bila kusahau kazi yako kuu sex machine ya kumridhisha na kufanya anavyotaka.

Maelezo yote hayo lakini single maza hana cha kupoteza Wala hasara kwako wewe hawara na minyegeko yako.
eti lisingo maza,wewe linanihii tu,hii ni lugha ya dharau sana kwao
 
Back
Top Bottom