Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Wewe kuwa na Roho Mbaya kusukufanye u Generalize kuwa kila M Tanzania ana roho Mbaya~~~>>>>Watanzania tunaongozwa kwa kuwa na roho mbaya........ Ndio maana hatufanikiwi....
Wewe kuwa na Roho Mbaya kusukufanye u Generalize kuwa kila M Tanzania ana roho Mbaya~~~>>>>Watanzania tunaongozwa kwa kuwa na roho mbaya........ Ndio maana hatufanikiwi....
Ok. Ikifika kwa wawekezaji kama dangote mnasema MSURURU WA KODI. Kwamba asilipe kodi stahiki.Mabasi ya KAMATA yaliwashinda kuendesha wataweza ndege?
Tukubali hizi ni zama za ubinafsishaji na utandawazi,
Serikali haifanyi biashara bali huwajengea wananchi mazingira mazuri ya kufanya biashara kisha hutoza kodi.
mkuu hawa wapnzani wa tanzania tulishajua dhamira yao kwa nchi yetu, kwa hyo hata usisumbuke nao, NAWAAMBIA UKAWA HIVI, KWA NAMNA YA SIASA MLIYOICHAGUA HAMTOKAA KUJA KUKABIDHIWA MUIONGOZE SERIKAL YA TANZANIA HATA KWA DAWA, WATU WAMESHAJUA DHAMIRA YENU.
Barafu,
Masuala ya usalama wa anga inabidi yahojiwe sana na siyo masimango. Tunategeme Mamlaka ya usafiri wa anga (Tanzania Civil Aviation Authority), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania pamoja na ATCL watupatie ripoti kamili juu ya tukio hili.
Ripoti itatupa mwangaza tatizo ni nini inaweza kuwa matatizo ya weledi wa marubani, mafunzo duni , mchoro wa kiwanja, ndege ilivyoundwa, hydraulic power za ndege, spidi kubwa, Control Tower n.k Ni muhimu ripoti itoke ili wananchi wanaotumia ndege hizi za ATCL wajue wapo katika mikono salama.
Na muhimu ripoti ya sakata hii itasaidia wadau wote wa sekta hii ya usafiri wa anga Tanzania na kimataifa yaani ndege zinazoingia anga ya Tanzania.
Tutazame video wenzetu wanavyohifadhi kumbukumbu za matukio za usafiri wa anga na taarifa kuwa wazi kwa umma kupitia media mbalimbali na wataalamu kuongelea tukio halisi lilivyokuwa na siyo '' kutumia uzalendo kuficha mambo'', uzalendo ni uwazi wa tukio Zima na sababu zake ili kupunguza uwezekano wa kutokea tena:
AIR CRASH INVESTIGATION
Air Disasters: Impossible Landing (Season 3 Episode 4)
Source: Air Disaster
~~~>>>>Watanzania tunaongozwa kwa kuwa na roho mbaya........ Ndio maana hatufanikiwi....
Mkuu Barafu, kwanza naunga mkono hoja sio vizuri kulalamika kuhusu kila kitu, Watanzania tuna tatizo la uzalendo kwa nchi yetu, watu tuko tayari kudharau chetu na kuthamini cha mwenzio.Ndege haina "side mirror",ilimpasa kujiridhisha ili kuiweka ndege ktk sehemu salama.Lakini watu wameanza kusema na mengine ambayo hata hayapo.
Tatizo ni upatikanaji wake unesababisha makundi makubwa kuumia' wanafunzi wanakosa mikopo elimu ya juu, hospitalin madawa hakuna, kodi zimewekwa kila kona, ajira hakuna, watumishi wa umma stahiki zao zimesitishwa! Unadhani hawa wote watafurahia uwepo wa hizo ndege?Asante kwa maelezo mazuri mkuu, wengine wamekaa kukosoa tu
Na hilo ndilo lililomfanya aone landing gears ipo out of Safety lines!!Maana kuna watu walianza kusema kwanini asichungulie nyuma?Ndio maana nikasema "kiutani" kuwa ile si bajaji kwamba ina side mirrors!!Upo sahihi mkuu...Jambo lililotokea ni la kawaida sana,na linatokea kila siku iwe ni Dsm,KIA,Jomo Kenyata au hata huko mbele;hapa tatizo ni ATCL...Na hata Kisongo ingekuwa ina-operate 24hrs,usingeisikia hii issue,maana ndege ingetoka na kusepa;Waliamua kuunganishia sbb sunset ilishafikaMkuu Barafu, kwanza naunga mkono hoja sio vizuri kulalamika kuhusu kila kitu, Watanzania tuna tatizo la uzalendo kwa nchi yetu, watu tuko tayari kudharau chetu na kuthamini cha mwenzio.
Hilo la side mirror, sio issue, kuna camera ambayo iko linked na GPS ambapo pale kwenye dashboard, pilot anapaswa kuona hadi zile landing lines kama baadhi ya magari ya kisasa ukirudi rivesi, kuna camera inawaka na kukuonyesha nyuma.
Paskali
haya ma pangaboi tatizo lake kubwa ni landing gear, ukiona mmetua mshukuru Mungu, google uoneNa hilo ndilo lililomfanya aone landing gears ipo out of Safety lines!!Maana kuna watu walianza kusema kwanini asichungulie nyuma?Ndio maana nikasema "kiutani" kuwa ile si bajaji kwamba ina side mirrors!!Upo sahihi mkuu...Jambo lililotokea ni la kawaida sana,na linatokea kila siku iwe ni Dsm,KIA,Jomo Kenyata au hata huko mbele;hapa tatizo ni ATCL...Na hata Kisongo ingekuwa ina-operate 24hrs,usingeisikia hii issue,maana ndege ingetoka na kusepa;Waliamua kuunganishia sbb sunset ilishafika
Pascal Mayalla, haya wameyataka wenyewe. Ndege toka zimezinduliwa siku ile Rais aliligeuza jambo hili kuwa la kisiasa na fahari ya CCM badala ya la kitaifa unategemea nini? Lazima wanasiasa nao watumie kila nafasi ya tatizo kulitumia kisiasa.Mkuu Barafu, kwanza naunga mkono hoja sio vizuri kulalamika kuhusu kila kitu, Watanzania tuna tatizo la uzalendo kwa nchi yetu, watu tuko tayari kudharau chetu na kuthamini cha mwenzio.
Hilo la side mirror, sio issue, kuna camera ambayo iko linked na GPS ambapo pale kwenye dashboard, pilot anapaswa kuona hadi zile landing lines kama baadhi ya magari ya kisasa ukirudi rivesi, kuna camera inawaka na kukuonyesha nyuma.
Paskali
Mawazo kama yako ni yanaweza tu kutolewa na mtu asiyejiamini kabisa na kutokujitambua.Lazima wakosoe kwa sababu ni ndege zilizonunuliwa kwa Pesa(kodi) zao na kibaya kuna watu wamekosa mikopo ili tu ndege zinunuliwe.
Hivyo wana Uchungu nazo na kuona zile ni sehemu ya matatizo yao.
Tatizo lenu nyie mnaosifia kila mara mnazidisha Sukari.
Upo sahihi mkuu Chakaza na ndio maana nikasema tatizo la ndege hizi ni "Siasa".Zimekuja wakati wa siasa za majigambo na tambo!!Huku kukiwa na siasa za kuviziana na kuparuanaPascal Mayalla, haya wameyataka wenyewe. Ndege toka zimezinduliwa siku ile Rais aliligeuza jambo hili kuwa la kisiasa na fahari ya CCM badala ya la kitaifa unategemea nini? Lazima wanasiasa nao watumie kila nafasi ya tatizo kulitumia kisiasa.
Unajua kwa nini Yanga ikicheza na Zamalek inapowakilisha nchi kwa nini Simba inashangilia Zamalek? Ni kwa vile kama Yanga itashinda badala ya kusema tumeleta fahari ya nchi wao watasema sisi ni wakimataifa sio kama wale Simba wamchangani. Kwao kushinda ni furaha zaidi kwamba wameikomoa Simba na sio fahari ya Tanzania.
Ndivyo ilivyo sasa hivi, angalia mgogoro wa kiwanda cha Dangote.
Kiwanda kile kilikuwa kinatoa ajira kwa Watanzania bila kujali itikadi na ni maendeleo ya nchi, lakini ccm walitaka kufanya kiwanda hicho kama chao na kilitumika kama sehemu ya kampeni hivyo kushindwa na migogoro yake wapinzani wanaitumia kama kete na kuuliza kikowapi?
Ndio maana Dr Kafumu kawaambia wenzake waache tabia ya "Uzalendo uchwara" kwenye mambo ya kitaifa.
Unafiki wa watanzania utauweza.....kujua mambo hawajui kuzusha sasa ndio kazi wanayoiweza,ndege ni za nchi wala sio za mtu mmoja huo ni ukosefu wa akili hizo siasa zenu za vijiweni msiziweke kwenye mambo ya msingi,kuwa NYUMBU kazi sana.Hizi ndege hata marubani wanaziogopa!!!Maana zipo "kisiasa" sana.Kila mtu anatafuta pa kupatia "kick" linapokuja suala la ATCL.Kilichotokea Kisonge ni jambo la kawaida sana ktk usafiri wa anga.
Hapo ni suala la kawaida sana,wakati wa kutua rubani alikuwa anataka kupiga turning ili aingie Apron(sehemu ya maegesho ya ndege)kwa ajili ya kushusha abiria,lkn bahati mbaya tairi moja la nyuma likatoka nje ya runway.
Sasa kwa sbb hizi ni ndege mpya;jamaa akaona isiwe tabu,ni bora asubiri "Towing Car" ili aweze kuitoa.Angeweza kuitoa hata kwa ku-tax,lkn amechukua tahadhari ili kuepuka lawama.
Na kwa sbb uwanja wa Kisongo ni 12hrs,hufunguliwa na kufungwa wakati wa mawio(sunrise) na wakati wa machweo(sunset),kwa muda iliofika Kisongo na kutaka kuondoka ndege isingeweza sbb muda wa kufungwa uwanja ulishafika,na Kisonge haina taa za sehemu ya kutua na kurukia,kama ingalikuwapo "dear bombadia" ingerudi Dsm usiku kwa usiku.
Hali hii ipo Mtwara,Kigoma,Tabora na hata Mbeya.Ndio maana kuna safari ikitokea itilafu kidogo tu na ikafika saa kumi jioni Fastjet bado ipo Dsm haiwezi kwenda tena Mbeya.
Safety First,hiki ndicho rubani kazingatia,angeweza kulazimisha kukata kona na kuitoa,lkn alitaka kuhakikisha kuwa abiria wote wanashuka kwanza ili kupunguza uzito.Yangetokea mengine ndio watu wangelaumu sana.
Incidence za kubasti tairi,kuchepuka nje ya runway au taxway ni za kawaida sana,ni kwa sbb huwa haziripotiwi au ni kwa vile zimetokea kwa ATCL ndio maana zinashika kasi na heading mitandaoni.
Rubani kafanya maamuzi sahihi...
Na hii ni incidence ya kawaida sana ktk usafiri wa anga.Hapa juzi kati huko Nairobi ndege ilipata tatizo kwenye Runway na uwanja ukafungwa zaidi ya masaa 6,ndege zote za Jomo Kenyata zikawa diverted KIA na Dsm hadi uwanja ulipofunguliwa.
Siku kadhaa zilizopita zililetwa habari za Oman Air kupata mpasuko wa tairi huko Dsm.Waarabu wa Oman walikaa kimya huku wakiendelea na uchunguzi,hawakupiga mayowe ili wasipoteze abiria wa ndege zao ambao wamekuwa wakizitumia kufika Asia na mashariki ya mbali.Kusafrisha mahujaji nk.Walikaa kimya sbb,basti ni kitu ya kawaida,na kwao ndege ni sehemu ya utalii na kipato cha nchi.Sasa sisi kuchepuka tu kwenye taxway/runway ni maneno ya kejeli tupu.
Masaa sita ni mengi;kwanza yanaonyesha pengine nchi husika haijajiandaa kukabiliana na dharula,majanga ya moto na ajali.Lakini vyombo vya Kenya wala havikushobokea habari hii,ilipita kimyakimya sbb wanajua madhara yake.Hii si "habari" kwa maana ya ndani ya Taifa la kwao.Linawashushia heshima ya utayari ktk majanga na uokozi.Wakaipiga "pini" na kujadili mambo mengine.
Sisi Bombadia rubani kafanya tahadhari ya kuepusha majanga kwenye "landing gears" basi kila mahali usiku huu n maneno na "kuiponda" ATCL!!Ebooooo!!Tabia gani hii ya kutokilinda vya kwenu?Ndege haina "side mirror",ilimpasa kujiridhisha ili kuiweka ndege ktk sehemu salama.Lakini watu wameanza kusema na mengine ambayo hata hayapo.
Hii ni kitu ya kawaida,ndio maana kuna incidence na accident!!Ila kwa sbb ni ATCL,watu wataongea sana saanaaa.Lkn hao hao wapiga kelele ndio wa kwanza kukuomba uwafanyie booking ya ATCL.Loooh!!Pole sana ATCL...Unaonekana "yatima" hata ktk ardhi ya mama yako Tanzania.Huu sasa sio ukosoaji,ni MASIMANGO!!Kutwa kucha kuisimanga ATCL...Duuuh!!