Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,210
Reaction score
39,687
Vijana wanakimbilia humo kama sifa vile. Haifai hata kidogo. Utuvwa mwanaume upo wapi?
 

Attachments

  • efff4b59-3698-4732-a2b0-7f244a31bd69.png
    efff4b59-3698-4732-a2b0-7f244a31bd69.png
    2.1 MB · Views: 12
  • gmanews_c2a90faf7217420d9a0f0f25c7e68bbe.jpg
    gmanews_c2a90faf7217420d9a0f0f25c7e68bbe.jpg
    109.7 KB · Views: 9
fresh,zee la toto members waliogopa sana wakidhani umelala mbele..Mo29
Hman lolote members wote humu nimekuja kugundua ni kama marafiki wa bar tuu....wapo nawe ukiwa na hela ya kuzungusha round ila kwenye majanga wanakukwepa kama ukoma. Yaani nilitegemea pm itakuwa imefurika mweee! Hamna ata meseji moja.
 
As a nation we are fucked.

Upuuzi ulianza na neno "Tafuta hela"

Hakuna aliyesema itafutweje.

As a nation we accepted the results without caring for the means.

Mwenye pesa alitukuzwa na kuonwa mjanja, no one cares pesa zimetokea wapi.

Wakaja machawa.

Wakaja matapeli.

Wakaja madaktari wa mitishamba wakina Mwaka.

Wakaja manabii na mitume.

Wakaja motivation speakers.

Wakaja wakina Juma Lokole et el.

Now hii ishu ni ngumu kwakua sasa hivi tuna access ya taarifa na matukio in a second. Tuna smartphone za beii chee tuna bundles za bei chee.

We are cooked kubababake.

Pamoja na yote haya niliyoandika I do not hate them as in mfano anapita njia siwezi kuanza kumpiga au kumtukana bila sababu. But we need to change our idols huko mitandaoni.
 
Content creater yupo kazini ivi wanafundisha nini jamii au ndo wanapinga hadharani wakigeuka pembeni wanasingizia nyege
 
Back
Top Bottom