Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

Watu wanavopinga, utasema hawatafuni mitura.
 
We are cooked kubababake.
Ila hizo picha zilizosindikiza mada ni AI sio picha halisi kwa hio tupunguze hasira, vijana oeni chanzo cha yote ni vijana kutokuoa na wengine kukataa kuolewa na ushoga sio kwa wanaume tu hata wanawake wapo ni mashoga ila wao hukuti wanazungumzwa na wanafanya sana tu sema kwa wanawake halionekani km ni jambo la ajabu wanawake hata wakipigana mabusu na kukumbatiana kwenye hadhari hakuna anaejali hata wakishikana matako na mwanamke mwenzie kwenye kadamnasu hakuna anaeshangaa linaonekana jambo la mwanamke kupigwa mabusu, kukumbatiwa na kushikwa matako sio jambo la ajabu sana maana ila unapokuja kwenye upande wa mwanaume inapoonekana anafanywa km hivyo na mwanaume mwenzie watu wanaanza kupatwa na kichefuchefu kwamba imekuaje hii? Kwamba mwanamke kushikwa matako na kuchezewa chezewa au kufanywa vyovyote sio jambo la ajabu sana km ilivyo akifanyiwa hivyo mwanaume

Yaan ni bora mwanaume aonekane amelala ni BIBI yake aliemzidi umri itaonekana kawaida si kalala na jinsia tofauti bwana ila akionekana anafanya ushetani na mwanaume mwenzie mara anashikwa matako mara anabambiwa oya

Kwanini wanawake hawasemwi kwanini wanaume tu?

Maana ninajua baadhi wa creator wa hao wanaume wa hivyo ni wanawake sio wanaume maana wapo wanawake wanaowafanya wanaume kua hivyo ila hii dunia ni msitu mkubwa sana kuna mambo mengi ambayo binadamu hawayajui mambo mengi sana yamefanywa kua siri na ukiyachunguza kwa undani ndipo unapugundua ukweli halisi wa mambo, kwanza tambua hao wote weenye hio hali wanazaliwa na mwanamke kwa hio muhanga wa kwanza namba moja wa hilo balaa sio mwanaume ni mwanamke maanaa ni yeye aliebeba hicho kiumbe miezi 9 akahangaika nacho iwe jua iwe mvua anateembea na tumbo kubwa wapo wanaomcheka wapo wanaomuonea huruma lakini hakushindwa mwisho akakileta kiumbe duniani hutokuta mwanamke wa namna hio ananyanyuka na kuanza kumsema huyo mtoto kwa ubaya maana anajua huyo mtoto hakujileta mwenyewe ni yeye ndie aliemleta huyo duniani haijarishi kwamba huyo mtoto amegeuka kua kiumbe wa aina gani ila mtoto ni wake amemzaa mwenyewe kwa uchungu na kumlea mpaka amekua alivyokua kwaa hio wa kwanza kuulizwa na kulaumiwa sio mtoto ni yule aliemzaa maana hata akigundua kua mtoto wake wa kiume amekua mtu wa kuingiliwa kinyume yeye mwenyewe utumbo utamcheza na kujiuliza Mungu waangu nilikukosea wapi mimi kwanini mwanangu amekua hivi?

Niishie hapo kwa leo sitaki maswali
 
Ila hizo picha zilizosindikiza mada ni AI sio picha halisi kwa hio tupunguze hasira, vijana oeni chanzo cha yote ni vijana kutokuoa na wengine kukataa kuolewa na ushoga sio kwa wanaume tu hata wanawake wapo ni mashoga ila wao hukuti wanazungumzwa na wanafanya sana tu sema kwa wanawake halionekani km ni jambo la ajabu wanawake hata wakipigana mabusu na kukumbatiana kwenye hadhari hakuna anaejali hata wakishikana matako na mwanamke mwenzie kwenye kadamnasu hakuna anaeshangaa linaonekana jambo la mwanamke kupigwa mabusu, kukumbatiwa na kushikwa matako sio jambo la ajabu sana maana ila unapokuja kwenye upande wa mwanaume inapoonekana anafanywa km hivyo na mwanaume mwenzie watu wanaanza kupatwa na kichefuchefu kwamba imekuaje hii? Kwamba mwanamke kushikwa matako na kuchezewa chezewa au kufanywa vyovyote sio jambo la ajabu sana km ilivyo akifanyiwa hivyo mwanaume

Yaan ni bora mwanaume aonekane amelala ni BIBI yake aliemzidi umri itaonekana kawaida si kalala na jinsia tofauti bwana ila akionekana anafanya ushetani na mwanaume mwenzie mara anashikwa matako mara anabambiwa oya

Kwanini wanawake hawasemwi kwanini wanaume tu?

Maana ninajua baadhi wa creator wa hao wanaume wa hivyo ni wanawake sio wanaume maana wapo wanawake wanaowafanya wanaume kua hivyo ila hii dunia ni msitu mkubwa sana kuna mambo mengi ambayo binadamu hawayajui mambo mengi sana yamefanywa kua siri na ukiyachunguza kwa undani ndipo unapugundua ukweli halisi wa mambo, kwanza tambua hao wote weenye hio hali wanazaliwa na mwanamke kwa hio muhanga wa kwanza namba moja wa hilo balaa sio mwanaume ni mwanamke maanaa ni yeye aliebeba hicho kiumbe miezi 9 akahangaika nacho iwe jua iwe mvua anateembea na tumbo kubwa wapo wanaomcheka wapo wanaomuonea huruma lakini hakushindwa mwisho akakileta kiumbe duniani hutokuta mwanamke wa namna hio ananyanyuka na kuanza kumsema huyo mtoto kwa ubaya maana anajua huyo mtoto hakujileta mwenyewe ni yeye ndie aliemleta huyo duniani haijarishi kwamba huyo mtoto amegeuka kua kiumbe wa aina gani ila mtoto ni wake amemzaa mwenyewe kwa uchungu na kumlea mpaka amekua alivyokua kwaa hio wa kwanza kuulizwa na kulaumiwa sio mtoto ni yule aliemzaa maana hata akigundua kua mtoto wake wa kiume amekua mtu wa kuingiliwa kinyume yeye mwenyewe utumbo utamcheza na kujiuliza Mungu waangu nilikukosea wapi mimi kwanini mwanangu amekua hivi?

Niishie hapo kwa leo sitaki maswali
Mwanetu umeandika kwa uchungu si kipolepole
 
Back
Top Bottom