Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

Hman lolote members wote humu nimekuja kugundua ni kama marafiki wa bar tuu....wapo nawe ukiwa na hela ya kuzungusha round ila kwenye majanga wanakukwepa kama ukoma. Yaani nilitegemea pm itakuwa imefurika mweee! Hamna ata meseji moja.
Hahaha
 
Vijana kaen chonjo na vinyeo hivyo
Wewe jishikilie tako lako hilo hakuna mtu atakae kuonya km hujui kujionya mwenyewe tako ni lako utajua mwenyewe utalifanyia nini sina kingine cha kukueleza vipi wale dada zako kule wamepunguza bei au bado ndio ile ile?
 
Back
Top Bottom