Tupike pilau la nazi

Tupike pilau la nazi

Nitie aibu mara ngapi? 😹😹😹
Mwenyewe kashanizoea cute wake kupika sijui ananifundisha yeye ni mpishi mzuri..!!

Kuna siku nilibaki peke yangu home nikapikia mbwa hawakula chakula kibichi..!! 😹😹😹🤣🤣
Ata chakula cha mbwa kigumu kwako hapanaaaaa 🙌🙌
 
Mwakata! Ughonile! Twambombo

Leo nilikuwa na hamu ya pilau so nikasema nitafute nazi ili nipike pilau la nazi

Kuanza nikaanza kukaanga nyama na mafuta kidogo tu uku nikiwa nime changanya na kitunguu swahumu
View attachment 3399622
Baada ya hapo nika chukua pilau masala na birian masala nika zichanganya pamoja ili viuongo viive vzr

View attachment 3399623
Baada ya hapo nika chukua hoho na karoti nika weka kisha nika weka nyanya
View attachment 3399625
Baada ya muda nika weka mchele uchanganyike vzr
View attachment 3399628
Hapa nikawa naji semesha sufuria dogo ila nikawa nakaza fuvu uku naendelea kuchanganya mchele na viungo

Baada ya hapo nikachukua tui ambalo lina uvugu vugu halija chemka lina uvugu vugu na ni tui la pili nika weka

Baada ya kuweka tui ndio nikaona ni vyema kuchange sufuria nikafanya. Ivyo na kuacha maji yakakamie kidogo kisha nika chukua tui lile la kwanza na kuli tia ilia mambo yawe bam bam
View attachment 3399634
Baada ya muda chakula kimeiva kipo vizuri kama nilitamani kitoke
View attachment 3399637
Nipo tayari kutukanwa na wan jf kama kawaida
min -me kitalembwa mbwangali Evelyn Salt @Hamfull
Kwenye lugha ya Kiswahili hamna neno "uku" bali Kuna neno "huku"
 
Ata chakula cha mbwa kigumu kwako hapanaaaaa 🙌🙌
Sa nifanyeje 😹😹😹
Ile siku mbwa walikua wakali, niliwafungulia walinikimbiza walisahau km mi rafiki yao..!!

Wezi wangejimix ile siku wangepoteana, nilimpigia simu ex wangu aje ili wamng’ate bahati yake mizimu ya kwao ilikua pamoja naye alisafiri..!! 😹😹🤣🤣
 
Sa nifanyeje 😹😹😹
Ile siku mbwa walikua wakali, niliwafungulia walinikimbiza walisahau km mi rafiki yao..!!

Wezi wangejimix ile siku wangepoteana, nilimpigia simu ex wangu aje ili wamng’ate bahati yake mizimu ya kwao ilikua pamoja naye alisafiri..!! 😹😹🤣🤣
😂😂 hapana cute nikirud dar nitakufundisha pole pole mpaka uweze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom