Tupeni uhuru wetu

Tupeni uhuru wetu

Ah,mama mchungaji ladyfurahia,hata ufanye nini,nafasi ya mwanaume kama kiongozi/kichwa cha familia lazima itabaki palepale!
Shida wanawake wengi wamekuwa jeuri na kiburi siku hizi kwa waume zao,na hili ndilo huleta mitifuano!
Yaani nikubali mke wangu anishike masikio?
THUBUTU!!
 
Last edited by a moderator:
hayo mlifanya wakati wa mababu na mabibi zetu kwa nyakati hizi hamtatuweza kwani tumetoka BEIJING haki sawa kwa wote hamuwezi mkatuendesha mnavyotaka sisi tutawaendesha nyie kama tunavyotaka ssisi na sio nyie wakandamizaji wa haki

na tukishashtuka tu ,we ni mbeijing hatuoi,mtabaki kutangatanga na njia na kugegedwa mpaka mpate displin
 
ladyfurahia una stress?kisa hawa wanaume?let me tell u hamna utakavyojikomboa ili mwanaume awe down and u on top au hamna utakachofanya ili iwepo fair play dunian ili dunia iwe na challenge things should be going as they are right now

But don't forget the one who irritate u the most is the one who loves the most so down in earth hia no matter how men screw women life they loves us and needs us badly...baaaaaaas
 
Last edited by a moderator:
haa wewe una wazimu mm nazungumzia mume wake mpakanjia ajatumia hilo wewe

I just mocked me u ladyfurahia, najua mumewe amina alikuwa akiitwa mohamed mpakanjakia a.k.a kitendawili ila hoja iko kwa wanaume hivyo kutolea mfano wa mzee chifupa hujatibu tatizo kwani yeye naye ni mwanaume. hoja yangu niliijenga kwa kutumia ubini wa wanawake yaani kama wewe unaitwa sarah na mama yako anaitwa Jenifer wakati baba yako anaitwa Sanya na mumeo anaitwa damian basi wewe uitwe sarah jenifer.
 
umenena best bigup
ladyfurahia una stress?kisa hawa wanaume?let me tell u hamna utakavyojikomboa ili mwanaume awe down and u on top au hamna utakachofanya ili iwepo fair play dunian ili dunia iwe na challenge things should be going as they are right now

But don't forget the one who irritate u the most is the one who loves the most so down in earth hia no matter how men screw women life they loves us and needs us badly...baaaaaaas
 
wewenaona sasa unamatatizo ya akilli acha nikuache uendelee hivyohivyo kwani kuumbwa wa kwanza alikuwa nani ME / KE? utajijibu mwenyewe hapo usiku mwema
I just mocked me u ladyfurahia, najua mumewe amina alikuwa akiitwa mohamed mpakanjakia a.k.a kitendawili ila hoja iko kwa wanaume hivyo kutolea mfano wa mzee chifupa hujatibu tatizo kwani yeye naye ni mwanaume. hoja yangu niliijenga kwa kutumia ubini wa wanawake yaani kama wewe unaitwa sarah na mama yako anaitwa Jenifer wakati baba yako anaitwa Sanya na mumeo anaitwa damian basi wewe uitwe sarah jenifer.
 
kwaaa haaaa haaaa haaaa kwaaaaa haaaaa lol! watu8 :focus: umeona hapo utaelewa nilimaanisha nini best
Unaishi nchi gani mwenzetu ambayo leo ni Weekend....???
 
Last edited by a moderator:
wewenaona sasa unamatatizo ya akilli acha nikuache uendelee hivyohivyo kwani kuumbwa wa kwanza alikuwa nani ME / KE? utajijibu mwenyewe hapo usiku mwema

Asante sana kwa kunitakia usiku mwema, nimelala vizuri kwa sala zako. siku zote penda challenge ili upate ideas tofauti. nakutakia siku ya furaha kama ilivyo sehemu ya id yako.
 
Eti wababa mmesikia?
wake zenu wanataka uhuru!!!!!!!!!!
 
ukitumia hizo nyodo mmeo atakupiga mpaka uje humu tukushauri. Kila sehemu kuna utaratibu huwezi kutoka asubuhi ukarudi saa 6 usiku eti ulikuwa kwa shangazi. Kudai haki yako waweza kuidai hata kwanjia ya kiungwana tu,yapo mambo ambayo sisi wanaume tunakosea na yapo mambo ambayo nyinyi wanawake mnakosea,ila uhuru usio na sheria mimi kwangu hamna,labda useme uko jukwaani,bungeni na kwenye vikao vyenu ukirudi nyumbani fata utaratibu,serikali haita kuoa wala haikunisaidia kulipa mahari

mungu apishie mbali.......hio ndo siku utakayoolewa na shangazi yako aisee!mi mwenyewe sitoki asubuhi nikarudi saa sita......wewe mwenzangu........mlea familia mwenzangu,tunafanya maisha wote unaleta drama za kipuuzi kama hizi!!!?

huu uzungu utawakosti sana dada zangu....eti ooh uhuru!!......kama unapigwa na kunyanyaswa sio sababu tu ya uanamke wako ila ni upumbavu wa ulie nae.hilo halikufanyi usiwe MWANAMKE WA KIAFRIKA haswa na kuwa MWANAMKE KWA MUMEO AU BOYFRIEND(ofkoz....kutegemea na nyinyi wenyewe na makubaliano ya kuendesha mahusiano yenu).

KWANINI TU MSIWE WANAWAKE KWA WAUME ZENU!!!?????..............................mi nakosa kabisa kuwaelewa hapa!
 
Back
Top Bottom