Tupeni uhuru wetu

Tupeni uhuru wetu

ukitumia hizo nyodo mmeo atakupiga mpaka uje humu tukushauri. Kila sehemu kuna utaratibu huwezi kutoka asubuhi ukarudi saa 6 usiku eti ulikuwa kwa shangazi. Kudai haki yako waweza kuidai hata kwanjia ya kiungwana tu,yapo mambo ambayo sisi wanaume tunakosea na yapo mambo ambayo nyinyi wanawake mnakosea,ila uhuru usio na sheria mimi kwangu hamna,labda useme uko jukwaani,bungeni na kwenye vikao vyenu ukirudi nyumbani fata utaratibu,serikali haita kuoa wala haikunisaidia kulipa mahari



Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
hapo kitakachofuata ni kutaka uhuru wa kuwa na mume zaidi ya mmoja na uhuru wa kuoa. nashauri kabla ya kudai uhuru huo ingependeza kwanza mpige vita suala la mahari na muanze kutumia ubini wa mama badala ya ule wa baba (mwanaume)
 
uhuru wenyewe ndio kutembea kama kuku wa kienyeji halaf hueleweki ulienda wapi na kufanya nini?halaf unarudi nyumban na namba za wanaume ukiwa umechoka mi nitakuelewa?acha makofi yatembee
 
Huo uhuru unaotaka, wataka ukafanyie nini??
Cha msingi ni kuheshimu uumbaji wako alihal ukitimiza wajibu wako hakuna atakayekusumbua.
 
tutaendelea kudai mpaka ukomo wa nchi ufikie na tena 2015 tunachukua nchi hii yani tunatawala maana nyie mzoeaa kutuendesha kama baiskeli
Dah nilidhani unadai uhuru wetu toka CCM kumbe toka kwa sisi marijali hahahah, as always being said there is no free lunch! jikomboeni kielimu na kiuchumi safari yenu itafika, otherwise mtaendelea kudai uhuru wenu mpaka sijui lini.
 
wewe unaifikiri nataka uhuru wa aina gani? ni ule wa kumkomboa mwanamke toka mikono ya maharamia wabathuli kama nyie, ambao wanawatawala wanawake kimabavu na kidikteta
Huo uhuru unaotaka, wataka ukafanyie nini??
Cha msingi ni kuheshimu uumbaji wako alihal ukitimiza wajibu wako hakuna atakayekusumbua.
 
hayo mlifanya wakati wa mababu na mabibi zetu kwa nyakati hizi hamtatuweza kwani tumetoka BEIJING haki sawa kwa wote hamuwezi mkatuendesha mnavyotaka sisi tutawaendesha nyie kama tunavyotaka ssisi na sio nyie wakandamizaji wa haki
uhuru wenyewe ndio kutembea kama kuku wa kienyeji halaf hueleweki ulienda wapi na kufanya nini?halaf unarudi nyumban na namba za wanaume ukiwa umechoka mi nitakuelewa?acha makofi yatembee
 
hivi nani aliwaambia tunatumia ubini wa mwaname si mnajipendekeza nyie mfano halisi ni marehemu Amina Chifupa hamuoni haya
hapo kitakachofuata ni kutaka uhuru wa kuwa na mume zaidi ya mmoja na uhuru wa kuoa. nashauri kabla ya kudai uhuru huo ingependeza kwanza mpige vita suala la mahari na muanze kutumia ubini wa mama badala ya ule wa baba (mwanaume)
 
hapo umenena mwana
Akupe uhuru nani?jikomboe mwenyewe wewe unakubali kuolewa na mwanaume katili wategemea nn kama cyo vipigo? Its begins with you women have the power to change the world tatizo wengi ni vihiyo wanaosubiria kuolewa na kuletewa kila kitu
 
hivi nani aliwaambia tunatumia ubini wa mwaname si mnajipendekeza nyie mfano halisi ni marehemu Amina Chifupa hamuoni haya

leo ndio unanifumbua macho sikuwahi kujua kuwa amina chifupa, mama yake alikuwa akiitwa chifupa. mimi nilikuwa najua kuwa chifupa ni jina la baba yake amina ambaye ni mwanaume (mume wa mama yake amina)
 
maneno uliyosema ni mazuri tena yenye busara ulishampata weekend aliyopita mutu wa kutoka nae au? halafu hii sign yako imenivutia sana sijui kwanini hii hapa "Ukipendwa - penda, ipo siku utapenda - usipendwe"
Uhuru mnao sana na mmepewa na mungu; baada ya yesu kufamsalabani hakuna mtumwa wala mfalme, wala mtwana wala ..... Ila sasa na nyie mmezidi na kudai usawa kwa kila kitu.
Kuna kitu kinachoitwa mgawanyo wa majukumu; mungu alivyotuumba sisi wana-adam ni tofauti na nyie mabinti / wanawake. Hivyo uhuru mlio nao naomba uwe na mipaka; daima mjue kuwa mwanaume ni kichwa cha familia. Sisi wanaume ndo tunawatia vichwa nyie wanawake.
Ujumbe wangu kwenu wanawake ndo huo kwa leo. Ebu nani niondoke nikajipumzishe sehemu tulivu kwani hapa rocky city hali ya hewa ni nzuri sana kukaa kona na waungwana na kuanza kubadilishana mawazo huku tukisubiria mnyama aletwe mezani tukamtafune. Karibu ndama hotel - igoma
 
Cc: Mentor :angry::angry::angry::smokin::smokin::smokin::mvutaji::mvutaji::mvutaji::A S clock:
 
Last edited by a moderator:
Namshangaa anataka kuninyima nini wakati Mungu alisema kuwa enendeni mkazae na kuiongeza nchi nzima, sasa haoni kuwa atanifanya nikose tunda tamu namna hiyo acha nivumilie tu haya mateso kwani iko siku yatakwisha
ushauri mwingine ni kama nguvu za giza; awe single ili iweje?
 
haa wewe una wazimu mm nazungumzia mume wake mpakanjia ajatumia hilo wewe
leo ndio unanifumbua macho sikuwahi kujua kuwa amina chifupa, mama yake alikuwa akiitwa chifupa. mimi nilikuwa najua kuwa chifupa ni jina la baba yake amina ambaye ni mwanaume (mume wa mama yake amina)
 
na hizi alama zako zisizoeleweka sijui kwanini nyie mnatufanya tuwe hivi :A S 20::A S 20: kila wakati kwa mapigo yenu nasi tumeamua na tunasonga mbele kibeijing 😛anda: hatutaki mchezo wwala usumbufu :focus:
Cc: Mentor :angry::angry::angry::smokin::smokin::smokin::mvutaji::mvutaji::mvutaji::A S clock:
 
Uhuru ni haki ya kila mtu inayoambatana na wajibu. Ukitimiza wajibu wako bila mawaa hutapata kipigo kutoka kwa mwenza wako! Na Ukumbuke kuwa maumbile uliyobarikiwa kuumbwa nayo hayakuja kwa bahati mbaya...Mungu alikuwa na maana yake; na ndiyo maana kuna mgawanyo wa kazi na majukumu...sasa mkitaka kugawiwa majukumu ambayo kimaumbile si ya ninyi ndio kasheshe inapoanza...
 
helooo waungwana wapendwa wangu

Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema na shughuli, kazi, biashara, masomo na pia
mambo mbalimbali ya maisha kiujumla na wengine sasa mnajiandaa kwa mitoko ya jioni
muende wapi kumpumzika na uchovu wa kazi za wiki nzima. Wote nawpeni hai na kuwapenda pia.

Kwa kweli leo acha niseme ukweli uliopo ndani ya moyo wangu hususani hawa watu
wanaoitwa WANAUME wamekuwa kero kubwa kwetu wanawake, na wengine wamekuwa watu wa
ajabu sana wao kazi yao kubwa kusema vibaya wanawake, wengine wanafikia hatua ya kuwapiga wanawake utadhani ni kapeti au ngoma vile ambao haiumii kabisa ukipiga. Mtanishangaa marafiki
zangu wapenzi wa humu jf kwanini leo nimetokea kuongea hivi kwani wananikera sana na wengine wanadhubutu kuleta ndoa za mitala bila hata kuwaambia mke mkubwa bila hata woga kabisa,
wengine wanamaswali yasiyo na mkia wala mbuzi,

Ajabu ni kwamba wao wenyewe wanajiona kuwa wako perfect kwa kila kitu na wala hataki kuulizwa chochote kwani wako sawa, hivi kwaniini wanatunyima uhuru wetu hawa, kwanini wanakuwa wagumu kuelewa mambo hata kama unamuaga kuwa nakwenda kwa shangazi kumsalimia basi yeye atajifanya amesahau na kusema ulikuwa wapi mpaka saa hii unaingia home? mara maneno ya ajabu na ohoo
kwanini leo umesuka msuko huo wa ajabu, mara hooo nipe simu yako akiona majina ya upande mwingine ataanza kusema kuwa huyu ni nani au hii namba ya nani? ilimradi tu ni karaha na kutunyimana uhuru
kwani maneno yao ni bora mtu akupige makofi kuliko kukusema hovyo tu kila wakati maana
utaona karaha na utaona kuwa kama ndoa yenyewe ndo hii si bora niondoke. yaani wanauzi sana
tena sana.

Leo nimeona niseme wazi kwani wananiuzi sana tena sana ni bora kuwaambia ukweli ili kama wako wakujirekebisha wajirekebishe na kuwaambia wenzao kuwa wanawake hatupendi kufuatwafuatwa na kunyimwa uhuru kiasi hichi

TUPENI UHURU WETU NASI TUJITAMBE NA KUJIENDELEZA JAMANI

Hayo ndo maneno yangu ya weekend jamani mabest na marafiki zangu naomba msikasirike kwani ukweli nimewapa yabidi mfunguke na kuchukua uamuzi wa busara ni jinsi gani mwaweza kukaa na wake zenu
kwa upendo. Nasema tupeni uhuru wetu nasi ni wanadamu kama ninyi.

Nawatakia weekend njema na Mungu awabariki sana,. Nawapenda nyote marafiki zangu
ila message send




Unaishi nchi gani mwenzetu ambayo leo ni Weekend....???
 
Back
Top Bottom