Tupeane uzoefu kuhusu nanotechnology -nano medicine

Mbagala stendi

JF-Expert Member
Nov 8, 2020
289
266
Assalamualaikum.

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Leo napenda niongelee swala moja linalo litikisa dunia na ulimwengu kiujumla katika pitapita zangu za kuongeza maarifa nikavutiwa na hii mada.

Bila kupoteza muda twende moja kwa moja katika dhima yetu.

Nanotechnology hi ni technolojia ngeni katika nchi masikini na zile zinazoendelea.

Kwa wale waliobahatika kupita katika chuo kikuu cha dodoma UDOM faculty ya natural science wapo wale wanaosoma bachelor of science in physics baadae unaweza uka specialize to nano-technology as specialist studies.

Katika nano technology kuna field study mbalimbali Kama vile nano medicine it's so fantastic field study ever seen hapa utaweza kujua mambo mengi kuhusu researchs mbalimbali.

Kwa hapa bongo bado haya mambo ya nano medicine hayajaanza kufundishwa katika vyuo vyetu utakuja kugundua kuwa hata hizi chanjo (protein particles and lab chip) tunazozitumia pia hata usambaaji wa nano particles Kama vile usambaaji wa virus lab made katika miili ya binadamu.

Katika nchi zilizoendelea Kama vile marekani na nchi nyingine za ulaya madaktari wao baadhi ni lazima wawe na elimu hukusu nano medicine hasa wale specialist, mpaka saizi kuna vyuo takribani vitatu dunia nzima vinavyofundisha nano medicine.

Nano medicine hi ni haina ya medical practice that use more technology than human ability.
 
Assalamualaikum.

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Leo napenda niongelee swala moja linalo litikisa dunia na ulimwengu kiujumla katika pitapita zangu za kuongeza maarifa nikavutiwa na hii mada.

Bila kupoteza muda twende moja kwa moja katika dhima yetu.

Nanotechnology hi ni technolojia ngeni katika nchi masikini na zile zinazoendelea.

Kwa wale waliobahatika kupita katika chuo kikuu cha dodoma UDOM faculty ya natural science wapo wale wanaosoma bachelor of science in physics baadae unaweza uka specialize to nano-technology as specialist studies.

Katika nano technology kuna field study mbalimbali Kama vile nano medicine it's so fantastic field study ever seen hapa utaweza kujua mambo mengi kuhusu researchs mbalimbali.

Kwa hapa bongo bado haya mambo ya nano medicine hayajaanza kufundishwa katika vyuo vyetu utakuja kugundua kuwa hata hizi chanjo (protein particles and lab chip) tunazozitumia pia hata usambaaji wa nano particles Kama vile usambaaji wa virus lab made katika miili ya binadamu.

Katika nchi zilizoendelea Kama vile marekani na nchi nyingine za ulaya madaktari wao baadhi ni lazima wawe na elimu hukusu nano medicine hasa wale specialist, mpaka saizi kuna vyuo takribani vitatu dunia nzima vinavyofundisha nano medicine.

Nano medicine hi ni haina ya medical practice that use more technology than human ability.
Upo sahihi mkuu kwa nchi zinazoendelea iko hivyo. Lakini kwa nchi za ulaya na marekani nanotechnology na biomaterials zimeanza kuibuka miaka ya 1960s.

Kupitia hii nanoparticles wataalamu hivi sasa wanadetect kwa haraka magonjwa mengi ya binadamu kama vile cancer na kudevelop matibabu yake badala ya kutumia mionzi, kemikali au surgery kutibu cancer.

Ni field ambayo inahitaji vifaa,mitambo ambayo ni ghali kwa vyuo vikuu kumudu kununua.
 
Assalamualaikum.

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Leo napenda niongelee swala moja linalo litikisa dunia na ulimwengu kiujumla katika pitapita zangu za kuongeza maarifa nikavutiwa na hii mada.

Bila kupoteza muda twende moja kwa moja katika dhima yetu.

Nanotechnology hi ni technolojia ngeni katika nchi masikini na zile zinazoendelea.

Kwa wale waliobahatika kupita katika chuo kikuu cha dodoma UDOM faculty ya natural science wapo wale wanaosoma bachelor of science in physics baadae unaweza uka specialize to nano-technology as specialist studies.

Katika nano technology kuna field study mbalimbali Kama vile nano medicine it's so fantastic field study ever seen hapa utaweza kujua mambo mengi kuhusu researchs mbalimbali.

Kwa hapa bongo bado haya mambo ya nano medicine hayajaanza kufundishwa katika vyuo vyetu utakuja kugundua kuwa hata hizi chanjo (protein particles and lab chip) tunazozitumia pia hata usambaaji wa nano particles Kama vile usambaaji wa virus lab made katika miili ya binadamu.

Katika nchi zilizoendelea Kama vile marekani na nchi nyingine za ulaya madaktari wao baadhi ni lazima wawe na elimu hukusu nano medicine hasa wale specialist, mpaka saizi kuna vyuo takribani vitatu dunia nzima vinavyofundisha nano medicine.

Nano medicine hi ni haina ya medical practice that use more technology than human ability.
Mkuu ume maliza ama una endelea hapo ulipo ishia?
 
Upo sahihi mkuu kwa nchi zinazoendelea iko hivyo. Lakini kwa nchi za ulaya na marekani nanotechnology na biomaterials zimeanza kuibuka miaka ya 1960s.

Kupitia hii nanoparticles wataalamu hivi sasa wanadetect kwa haraka magonjwa mengi ya binadamu kama vile cancer na kudevelop matibabu yake badala ya kutumia mionzi, kemikali au surgery kutibu cancer.

Ni field ambayo inahitaji vifaa,mitambo ambayo ni ghali kwa vyuo vikuu kumudu kununua.
Kiujumla hii field inahitaji vifaa/ mtambo ya hali ya juu na elimu pia.
 
Mkuu ume maliza ama una endelea hapo ulipo ishia?
Nitaendelea...nilikuwa nasubiri wahumini ambao watakao vutiwa na haya mambo tupeane ujuzi kidogo kwasababu dunia ya Sasa inakuwa kwa kasi sana hasa upande wa tehama na sayansi husishi.
 
Back
Top Bottom