Hapan wanawake kivyao kak
wanawake na wanaume pamoja?
wanawake na wanaume pamoja?
sawa kila la kheri wakuuHapan wanawake kivyao kak
Nilikuwepo Tehama hapo kundibla kwanza tumekiwasha sana mpaka afande akasahau kuhesabu round tukajikuta tunaenda zaidi ya 10 badala ya 7Kurasini leo wengi ni kukumbia Vijana wako fit sana, ksma sio limitation ya idadi, vijana wangeenda wote.
Ambao hamjakimbia niwatoe hofu msiogope kabisa mnakimbia kwa makundi halafu sio mambio ya riadha ya kushindana, ni jogging na hakuna mashindano
Leo umemaliza mtaalam wa kurasiniSio poa mzee yani nilikata moto kiasi kwamba wangeongeza round 1 tuu mimi ningeaga mashindanoLeo umemaliza mtaalam wa kurasini
Afande Revokatus yuko poa sana Mcheshi hana baya mfikishie salama vijana wa Tehama tunamkubali sanaKurasini leo wengi ni kukumbia Vijana wako fit sana, ksma sio limitation ya idadi, vijana wangeenda wote.
Sio poa mzee yani nilikata moto kiasi kwamba wangeongeza round 1 tuu mimi ningeaga mashindano
km 3 tu zle tna za mdogo mdogoliyonifanya niombe hii kazi ndio njaa hiyohiyo itanipandisha hivyo vilima Mzee! Haina kufeliutaweza kweli mbio za vilima huko woodland road masoka.
km 3 tu zle tna za mdogo mdogo
Polen kwa dosoWakuu wakuu
Tatizo hawajawa specific kuwa maombi unapeleka makao makuu DODOMA au kwa njia ya postaa ,hii itawachanganya watu wenye vigezoo ,ukiachana na sisi age agoHaya vijana bakabaka
Alooo alooo hawa PT leo wangeniua 😂😂😂😂Polen kwa doso