NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 12,109
- 27,698
Juz gan tena?hata hamna kuna madogo hapa watano wameenda majuz tu na hamna mwenyej alie wakonect.
Juz gan tena?hata hamna kuna madogo hapa watano wameenda majuz tu na hamna mwenyej alie wakonect.
Daaaah so rahisi unatupanga tu hapahata hamna kuna madogo hapa watano wameenda majuz tu na hamna mwenyej alie wakonect.
Aseme juz8 ganDaaaah so rahisi unatupanga tu hapa
OyaaahKuna wadau kila mwaka wanasikilizia ronja toka 2019, najiuliza hawazeeki au ndio wajeda wanavamia kila uzi wa kazi za Militia!
Inategemea mkuu nani yuko nyuma yakochet cha jkt n lazima?
28 /4/2026Mwisho wa maombi ni tarehe ngapi?.
walianza process mwez wa pili wilayan, wamekuja kuondoka mwez wa tatu.Juz gan tena?
mim ni shuhuda, hawa madogo ilivuma tu chinichin kua wanahtajika vijana wajiunge jeshi.Daaaah so rahisi unatupanga tu hapa
ila bongo bhana hiyo sarakasi, inasaidia nin kwenye vita?
Jamaa Awo km wamebebwa kiholela km ivo bas ujuwe ni vitengo awu washaenda kutengezwawalianza process mwez wa pili wilayan, wamekuja kuondoka mwez wa tatu.
Cha kushangaza Wamechukua umri kuanzia miaka 16 ndo nilibak namaswali
Vitengo ndio huwa ni kimya kmya kweliJamaa Awo km wamebebwa kiholela km ivo bas ujuwe ni vitengo awu washaenda kutengezwa
Kwa namna vijana mnavyopenda kujazana upepo wa kuwapondea hao askari sikutarajia kukutana na huu uzi. Anyway maisha ya mitandao yana maigizo mengi. Unaweza kukuta jombaa inapondea walimu wakati huo huo na yeye anaombea apate kazi ya ualimu.Asalam Aleykum wanajamvi nia na Nlmazumuni ya uzi huu nitupeane updates ya taarifa mbali mbali kuhusu ajira mpya za JWTZ 2026
Wewe ni empty setooh kumbe.
Vigezo ni vipi? pia umri?
Kunda dogo kamalza 1V ajaribu nae
Vyote vinawezekanaMm mninieleweshe waungwana, barua ya maombi inapelekwa moja kwa moja msalato Dodoma au inatumwa posta?
Lakini lazima kuna kimoja ndo sahihiVyote vinawezekana
Kama upo karibu na dodoma basi sogea dodoma kam uko mbali tuma kupitia posterMm mninieleweshe waungwana, barua ya maombi inapelekwa moja kwa moja msalato Dodoma au inatumwa posta?
Lakini lazima kuna kimoja ndo sahihi