Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,297
- 10,716
Hivi kabla hawajafunga wangetoa kama siku mbili hivi watu watoe hela zao hapo ingekuaje?
Pale ela yake haiwezi kupotea, ila aachane nayo, kuna benki watu wanapitishia mishahara tu, lakini ukiwa serious na huduma za kibenki ni lazima ujibananishe walipo watu wengimfano hai ni kama Crdb na Nmb kwa sasa hawa ndio wamba wa Tanzania, na Kimei akiondoka Nmb itakuwa ndio nambari one Tanzania.Nina mdogo wangu alikuwa na 40M anazungushwa kutoa ngoja nimstue nilikua sifahamu Hilo..
Hamna wahuni tu, watayumbisha upepoMbona hizo kama ndio benki zenye uhakika ukiachana na zingine.
Duh Pole sana Mkuu, hizi sheria ni vyema wangekuwa wanatupa tosome kabla hatujafungua akauntaNimejibanaa we nikasave tupesa twangu 8million kwa miaka 3 afu naambiwa bank imefilisiwa napewa 1.5million nadhani nitafariki tu kwa pressure na umaskini wangu
Mkuu unakaa wapi inabidi niwe natembelea mitaa yakoKwa kuwa sina pesa mingi Mara nyingi siweki hela bank,naiweka barabarani au Chini,bank nabakiza ya kununua Luku tu not more than elfu 12.
Equity wafanyakazi wenyewe tu wakikopaga mikopo hawalipi utaona majina na picha tu vimerushwa gazetini, hivi ni vibenki uchwara vinaishi kwa kuwaongezea umaskini Watanzania kwa mikopo uchwara tu na riba kubwa.Kwa wanoijua equity bank wadau, vijisenti vyetu visije vikapotea
CRDB sidhani, wale wamejipanga na mwezi uliopita walitoa Mamillion ya faida kwa serikali.Mkuu vipi crdb na Azania mwendo wao ukoje.!
Kaweke NMB. Huko Mkuu hatogusa. Kama vipi kaziweke BoT kabisa.
Kama kitu kinakuzidi upeo wa ufahamu ni vyema ukakaa kimya ili uelimishwe, unafahamu kitu kinachoitwa Gorvernment bonds?Nyie hamjui mchezo unaochezwa...kufilisi benki ndogo ndogo ambazo ndo zina afueni ya moja kwa moja kwa wananchi ni mkakati wa serikali na mabenki makubwa ili ukaweke hela zako NMB au CRDB ili uwape hati wafilisi nyumba....so huja pa kukimbilia.
Kwasasa nimetoa hela zangu zote pale NMB samora, kama milioni 82 hivi cash kwa mpigo hadi Teller akaanza kurembua kumbe mm nahamishia kwangu..nimezitandaza chini ya godoro, nikiamka asubuhi nachomoa elfu 10 yangu ya kutwa naingia mtaani
Yapi ?Hakuna atakayepoteza hela yake hata kama bank ikifilisika kuna mambo mnachanganya...
Hizo bank za Wahindi wanajuwa wenyewe wanavyoendesha uchumi wao. wewe ni kenge tu kwenye msafara wa mamba.Diamond trust bank yenyewe vipi jamani?
Nyie hamjui mchezo unaochezwa...kufilisi benki ndogo ndogo ambazo ndo zina afueni ya moja kwa moja kwa wananchi ni mkakati wa serikali na mabenki makubwa ili ukaweke hela zako NMB au CRDB ili uwape hati wafilisi nyumba....so huja pa kukimbilia.
Kwasasa nimetoa hela zangu zote pale NMB samora, kama milioni 82 hivi cash kwa mpigo hadi Teller akaanza kurembua kumbe mm nahamishia kwangu..nimezitandaza chini ya godoro, nikiamka asubuhi nachomoa elfu 10 yangu ya kutwa naingia mtaani
Kwa kweli hapa naona walikosea sana. Huduma za kibenki za kidini?Nasikia ilianza kusuasua baada ya kuingiza maswala ya dini fulani kwenye utendaji wao wa kazi.