tupeane possible za kesho form 4

tupeane possible za kesho form 4

Haaaa Sema sikuzitegemea hizo tu, ningesha faint nahisi.
Tuliosoma shule za vijijini kipindi hicho tulikuwa tunasikia watu walipata pepa mitihani imeshakwisha.
Nilikuwa sitaki hata kuzisikia maana walimu wetu walikuwa wametujengea kujiamini.
 
matango pori yanasaidia kama topic zote zinazotakiwa kusoma ulizi-cover fresh..........coz matongopori yanaweza yasiwe yenyewe lakin yaka-relate na national exam yenyewe.......

Sasa hapo ukute hizo topic hujacover.....
Eti tulikua tunafanya siri watu wasijue tukajificha chamber ya mbali kweli kumbe lol
 
kichwa cha habari hapo juu kinajieleza sio matango pori.

Basic/ na Additional mathematics mnafanya lini??

maana namba inabidi iwekwe siku ya Kwanzaa ...wakiweka mwishoni peoples vichaa wanaweza wasifanye wakakimbiaaa@kidding
 
Kuweni makumu Dada yangu na wenzie waliwahi tapeliwa laki 3 ili wapewe mitihani
 
tar31oct2015 English premier ligi ..Chelsea vs Liverpool full time matokeo yalikuwa ni ngapi ngapi...????@10 marks

Clopp alim suck mou hadi akalia daaah...
Conclusion.
Nasikitia kumpoteza mou now sijui fans wa chelsea nitawataniaje tena wakati mou ndio alikuwa ananipa maneno ya kuwatania.
 
nilijikuta napata matango pori hata yanapotokea sikujua form 6 ilkua kiboko pepa ya phyz watu waliokua chimbo walilia machozi kwa kujitenga coz awakuweza kuyasogeza maswali

nadhan umejifunz kitu kuwen tu na umoja mtashinda hasa wa boarding


alaf kwa waliojiandikisha bvr muende na vichinjio vyenu hahahaha am kidding
 
Tuliosoma shule za vijijini kipindi hicho tulikuwa tunasikia watu walipata pepa mitihani imeshakwisha.
Nilikuwa sitaki hata kuzisikia maana walimu wetu walikuwa wametujengea kujiamini.

Sio za kuzitegemea kabisaaa...

Waliokuwepo town ndio ilikua rahisi kusambaziana taarifa
 
Tegemea matango pori ni ujinga kama ulijiandaa vizur utafaulu tu acha kuwaza matango pori madogo
 
Aaaaaaggr sitaki kukumbuka matango pori yalinibakua vibaya mno





Yan yalinibaka




Yalinibaka haswaaaaaaaaaq


Kasome yote tu kijana lasiivyo possible ztakufelisha
 
During the late Ubugabire kingdom Nyungu ya Mawe failed to conqure the Chiefdom of Vizabizanina Empire.Discuss?
 
With touchable, concrete, relevant and cohereted examples, distangle the evidence that democracy is not democracy if and only if democracy is no longer democracy.
 
matango pori yanasaidia kama topic zote zinazotakiwa kusoma ulizi-cover fresh..........coz matongopori yanaweza yasiwe yenyewe lakin yaka-relate na national exam yenyewe.......

haswaa nakumbk kuna jamaa alinipa tango pori la hortuba ya rais kwny kampaign nkaingia nkakuta swai tofaut ila ni kuhus hotuba of coz inasaidia
 
pepa la leo lilikuwa gumu balaa ngoja tusubiri la kesho
 
Back
Top Bottom