caine
JF-Expert Member
- Jul 4, 2015
- 563
- 1,275
Wasalaam
Kwa watumiaji na wapenzi wa bia hakika tarehe 1 Agust ni siku tuliokua tunaisubiri kwa hamu kubwa maana matumizi yetu juu ya bidhaa hii pendwa yalikua yanatuumiza sana.
Kama kawaida yangu mdau wa hii bidhaa leo mida ya saa 8 mchana nimeingia pande zangu nikaagiza 3 baridi ikiwa ni sehemu ya kuenjoy punguzo hili maradufu la bidhaa yetu pendwa.
Mara baada ya kupata bia zangu 3 balaa likaja kwenye malipo nashangaa naletewa bill isiokuwa na punguzo lolote. Ilnibidi kuuliza lakini sikupata majibu yalioridhisha.
Naomba kuuliza kwa wadau wangu wengine mliopo humu vp huko kwenu bia zimeshuka au bado. Kama bado tatizo ni nn? Na lini hasa tutaanza kufurahia punguzo hili?
Lakini pia tunaweza tukatumia uzi huu kupeana updates ni wapi tayari wanapata punguzo hili ili tuweze kujumuika wote na kufurahia punguzo hili.
Nawasilisha....
Kwa watumiaji na wapenzi wa bia hakika tarehe 1 Agust ni siku tuliokua tunaisubiri kwa hamu kubwa maana matumizi yetu juu ya bidhaa hii pendwa yalikua yanatuumiza sana.
Kama kawaida yangu mdau wa hii bidhaa leo mida ya saa 8 mchana nimeingia pande zangu nikaagiza 3 baridi ikiwa ni sehemu ya kuenjoy punguzo hili maradufu la bidhaa yetu pendwa.
Mara baada ya kupata bia zangu 3 balaa likaja kwenye malipo nashangaa naletewa bill isiokuwa na punguzo lolote. Ilnibidi kuuliza lakini sikupata majibu yalioridhisha.
Naomba kuuliza kwa wadau wangu wengine mliopo humu vp huko kwenu bia zimeshuka au bado. Kama bado tatizo ni nn? Na lini hasa tutaanza kufurahia punguzo hili?
Lakini pia tunaweza tukatumia uzi huu kupeana updates ni wapi tayari wanapata punguzo hili ili tuweze kujumuika wote na kufurahia punguzo hili.
Nawasilisha....