Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,694
- 2,294
Naomba tupeane location za bata kwa dar
Cha msingi kuwe na kila kitu namaanisha kuwe na kila bata
Popote tutakula bata
Mods kwanini mnafuta uzi kama hapa ni sehemu ya "where we dare to talk openly"? Au sababu ya kuulizia watu wanaosoma? Haya sijawaulizia kwenye huu uzi naomba msiutoe ili na mimi ni experience ile "where we dare to talk openly"
Cha msingi kuwe na kila kitu namaanisha kuwe na kila bata
Popote tutakula bata
Mods kwanini mnafuta uzi kama hapa ni sehemu ya "where we dare to talk openly"? Au sababu ya kuulizia watu wanaosoma? Haya sijawaulizia kwenye huu uzi naomba msiutoe ili na mimi ni experience ile "where we dare to talk openly"