Agenda Kuu kutoka kwa Senior Bachelor kuja kwa Vijana/watoto wa kiume

Zemanda

JF-Expert Member
Jan 10, 2021
5,707
11,953
Ulimwengu umebadilika sana. Mimi kama kaka yenu nayaona mambo kwa utofauti sana na ninyi ambao hamjakua vema. Kuna vitu vingi sana watoto wa kiume mnaachwa nyuma na jamii haiwapi umuhimu tena.

Jamii inaendeshwa na "women talk" kila sehemu. Akili zinabeba ajenda nyingi za upande wa kikeni na bila aibu kuna watu wazima wa kiume wanakaa kimya huku madogo wakipotea.

Tazama serikalini mijadala yao ni wanawake kila sehemu. Nenda taasisi za kifedha ni mambo ya wanawake tupu yaani mikakati ya kifedha kiuchumi 80% inahusu wanawake.

I swear kuna muda nahisi wanaume taarifa za changamoto zetu hazipelekwi kwenye takwimu za kitaifa ili iundwe mikakati ya kutambua changamoto zetu na kuziandalia mikakati.

Pale bungeni kuna wanaume wachache sana wanaojiamini wengi wao ni wanawake kitabia na ukichanganya na wale wadangaji wa viti maalumu ambao hawana la maana zaidi ya kugonga gonga benchi kupitisha pumba sijaona nani wa kusimamia masilahi yetu ngazi ya kitaifa.

I fear for my young brothers nawapenda sana siwezi kuona mkiteketea na kuacha kuishi malengo yenu. Boy child enough is enough, its time to talk about your rights and privileges.

Watoto wa kiume wanajitahidi sana kustruggle on their own no one cares for them. Tunapoteza our brothers kwenye ushoga sababu ya kukosa structure ya kuwakuza. Enough is enough. Its time to open back the Masculinity trainings na kuwashape watoto wa kiume wherever walipo even if it means kugombana na wanawake wacha iwe hivyo.

My brothers nawaita tena kwa jina la KIUMENI its time turudishe wadogo zetu kwenye mstari hii dunia bila uanaume ni sawa na meli bila captain kampuni bila CEO https://jamii.app/JFUserGuide feminists na wote wanaosapoti.

Our biggest enemy ni feminists na feminism. Nawaiteni pamoja kuanzia leo tuweke azimia la kuanza kushare namna tutaanza vuguvugu la dismantle hizi idea za kifeminist ambazo kinara wake ni mataifa ya magharibi ambayo hayalali usiku na mchana yakipambana kudhoofu mfumo dume na kupandisha mfumo jike na kudhoofisha mataifa yetu maana wanajua anapokuwapo mwanaume imara jamii hustawi.

Tuna mengi ya kushare naomba huu uzie uwe mwanzo wa kupeana maoni na idea ya namna ya kufanya hii movement ili tuokoe watoto wetu wa kiume wasijekutana na stress za hawa vilaza mafeminists na wasije kutana na laana za ushoga.

MEN RULE. THIS IS THE MAN'S WORLD ,

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nashauri

Wababa tujitahidi kuwa karibu na watoto wetu,tuwatreat kiume,kuna vitu akifanya tuwaache na tuwapongeze hasa vya kiume

Kuna vitu hata akijaribu tuwakataze na tuwambie WEWE NI MWANAUME hutakiwi kufanya jambo fulani acha,hilo litamfanya atambue roles zake za kiume na kutofautisha na za kike,hata michezo ni lazima acheze michezo ya kiume

Pia tujumuike nao katika harakati zetu za hapa na pale,iwe ni kazi au mihangaiko midogo midogo ya kiume na huko hatoona wadada wengi hivyo akilini atajijengea kuwa hawa wadada ni watu wakuongea tu ila kwenye harakati fulani hawapo.

Mana feminist wanadai kila kazi wanaweza na mifano kibao,ila ukingia field ya hizo kazi huwakuti.hivyo tukijumuika na vijana wetu watapata sense ya kiume

Tough time creat strong man,simanishi wateseke ila lazima tuwafunze kupita njia ya kiume
 
Mimi nashauri

Wababa tujitahidi kuwa karibu na watoto wetu,tuwatreat kiume,kuna vitu akifanya tuwaache na tuwapongeze hasa vya kiume

Kuna vitu hata akijaribu tuwakataze na tuwambie WEWE NI MWANAUME hutakiwi kufanya jambo fulani acha,hilo litamfanya atambue roles zake za kiume na kutofautisha na za kike,hata michezo ni lazima acheze michezo ya kiume

Pia tujumuike nao katika harakati zetu za hapa na pale,iwe ni kazi au mihangaiko midogo midogo ya kiume na huko hatoona wadada wengi hivyo akilini atajijengea kuwa hawa wadada ni watu wakuongea tu ila kwenye harakati fulani hawapo.

Mana feminist wanadai kila kazi wanaweza na mifano kibao,ila ukingia field ya hizo kazi huwakuti.hivyo tukijumuika na vijana wetu watapata sense ya kiume

Tough time creat strong man,simanishi wateseke ila lazima tuwafunze kupita njia ya kiume
True

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya watoto kuelewa maana ya masculinity na kujenga mentality ya kuwa Masculinist. Ni vema kufahamu priority za kiume so far watoto wa kiume wa sasa wanakuzwa na mafunzo ya kindezi sana.

Kwa mfano wengi wanaamini kuwa ndoa ndio mwanzo wa mafanikio na nje ya ndoa hakuna mafanikio. Hii ni approach mbovu sana ya kuingia katika mahusiano nayo.

Ni vema vijana wakajua namna ya kuishi kwa mfumo binafsi before haujaamua kuwa katika mahusiano.

Set priority za kwako binafsi kwanza kama mtoto wa kiume. Yaani uwe kamili na sio kufikiri mwanamke ndie anakuja kukukamilisha, mwanamke anakuja kukusindikiza tu na kuwa msaidizi. Ndio maana wengi siku hizi mahusiano mnayatukuza kama ndio purpose ya ninyi kuwepo hapa Duniani.

Tazama watu mashuhuri wote Duniani akina Elon musk, Isaac Newton, priority zao si wanawake ila purpose ya maisha. Mtoto wa kiume unatoka kwenu unaenda kujielimisha chuo au popote unapata kazi badala ya kutuliza matako yako uanze kupanga sasa purpose yako ya maisha na kuweka milage au goals za kuattain unaanza kuweka kichwani kuwa purpose yako ni kuoa na kufunga Ndoa ili uishi na mwanamke akupe Maisha. Then unajikuta maisha yako yote unapambania kumfurahisha huyu mwanamke hadi nguvu zako zote zinaishia katika kumfurahisha huyu malkia.

Mwisho wa siku mwili unachoshwa kwa stress na kutumika katika kutafuta maisha yako halafu ukishachoka mwanamke anakuona mzigo anaanza kuombea udedi ili aishi kwa utulivu.

Idadi ya wanaume wanavyokufa mapema, ndivyo watoto wetu wa kiume wanazidi kubakia na wanawake na kulelewa kike na matokeo yao wanawapa fikra za kike.

Ni mbaya sana wanaume wengi kufariki katika age kuanzia 45 hadi 60 hapo kwa wingi.

Nani anakuwa sasa storage ya wisdom ya kiume kama wanaume wengi wanakufa umri huo?

Watoto wakikua wakitafuta busara za babu haupo wanakutana na bibi ambaye ndie anakuja waambia mjukuu wangu, oa na umpende mkeo maisha yako yote usihangaike na dunia mfanye mkeo kuwa priority.

Hii sio MEN perception juu ya maisha. Hii ni Woman perception.

Nimechunguza nimeona sana hii kitu koo nyingi miaka ya karibuni hapo zilikuwa zinabakia na akina bibi na hawa ndio walitoa maelekezo ya namna ya kuishi kwenye jamii.

Na ndipo huku kauli kama "mwanamke hapigwi", "Kitanda hakizai haramu" na zingine ambazo zililenga kumlinda mwanamke na kujenga fikra kuwa yeye ni malaika na hakosei.



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom