Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,079
Malezi , malez aisee nmeyaona mazingira ya uswahilini kwetu yanaathiri sana,mfano halisi nauona kwangu aisee yan hakuna anayejali kabisa kuhusu ww, ilmrad mzazi anakuona unakula tu bac hiyo inatosha ila kwa kweli kuna baadhi ya tabia za uswaz zmeniathir hadi leo hii na ni ngumu kuziacha aisee japokuwa nmepata faida nyingi za kuishi uswahilini but madhara nayo nayaona.......ila mi nafkiri bora mzazi uwe ni rafiki mzuri kwa mtt unakua naye karibu MTT atakueleza kila kitu na utajua unamhandle VP kuliko kumpiga lock za ajabu ajabu