Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,639
- 220,411
Kulea teenagers ni challenge kubwa, kipindi kile wachopitia hormonal changes, physical, psychological na social development. Hiki ni kipindi cha kujenga su kubomoa mustakabali mzima wa maisha yake.
Kutokana na experience ya kufanya kazi na vijana, story za marafiki na jamaa kuhusu watoto wao. Nilijenga utawala wa sheria nyumbani.
Sheria moja niliiweka kuwa, kuingia ndani ya nyumba mwisho ni saa 12.00 jioni. Baada ya hapo kama uko nje iwe ni kwa ruhusa. Sasa bwana sheria ni msumeno, unakata pande zote.
Ilibidi ile tabia ya kula nyama choma nikitoka kazini ife na mimi saa moja niwe nyumbani. Kasheshe kukiwa na vikao vya harusi au vya ndugu.
Jioni kusali kabla ya kulala, pombe ndani ya nyumba marufuku. Na mimi nikawa nikiwa na hamu ninapitia bar ninapata moja ya haraka niwahi nyumbani.
Pamoja na yote haya, siku nikiyoitwa shule dogo amekamatwa anavuta bangi, niliishiwa pose.
Kutokana na experience ya kufanya kazi na vijana, story za marafiki na jamaa kuhusu watoto wao. Nilijenga utawala wa sheria nyumbani.
Sheria moja niliiweka kuwa, kuingia ndani ya nyumba mwisho ni saa 12.00 jioni. Baada ya hapo kama uko nje iwe ni kwa ruhusa. Sasa bwana sheria ni msumeno, unakata pande zote.
Ilibidi ile tabia ya kula nyama choma nikitoka kazini ife na mimi saa moja niwe nyumbani. Kasheshe kukiwa na vikao vya harusi au vya ndugu.
Jioni kusali kabla ya kulala, pombe ndani ya nyumba marufuku. Na mimi nikawa nikiwa na hamu ninapitia bar ninapata moja ya haraka niwahi nyumbani.
Pamoja na yote haya, siku nikiyoitwa shule dogo amekamatwa anavuta bangi, niliishiwa pose.