Tupate elimu kidogo kuhusu gari ya Alteza

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,910
6,702
Hii ni gari aina ya toyota alteza. Gari hii kidogo naona soko lake linapotea kwa kasi sana sijajua tatzo ninini ila ambacho mlikua hamkijui katika gari hili ni kwamba. Wengi wanaopenda gari hizi wananunua sana four cylinder wakijua kwamba ndo wanapona katika swala la mafuta lakini kiukweli watu wengi asilimia 90 ya madereva hatujui kitu kimoja. Alteza yenye six cylinder ndio inayokunywa mafuta kidogo kuliko ya four cylinder.

Najua kuna watu watabisha sana lakin huo ndio ukweli na nikisema nmesema na sifuti. Alteza ndo gari pekee ambayo injin yake kimfumo na ulaji wa mafuta upo kinyume tofaut na gari zingne.

Hvyo ww kama una ndoto bado za kumilik hii ndinga ushauri wa bure tafta alteza six cylinder ndo utainjoy maisha yenye four ndo jini haina tofaut na brevis.

Sent using jamii forums mobile app
 
Na mimi nalijua hilo kwa sababu six ina horse power ndogo wakati four ina horse power kubwa,over
 
Alteza inashuka sana thamani sijajua chanzo nini,gari nzuri kuzidi ist na vits zinazokimbiliwa na wengi kwasasa mpaka wanaume.
 
Watu wengi wasichoelewa kuhusu Altezza ni kwamba unapokua nayo unareflect lifestyle yako..sio mambo ya mafuta wala sijui kutokuuzika...huyu mnyama ukishamfanyia mods unakula tu maisha...na 4.5-6.0km/l kwa mjini...

3637a3150e663071ac14af1469b605df.jpg


c3a3689f3c799d1add0007214d1b77ae.jpg


bdc93e52eb6747440b9db73596b3a72e.jpg


c8c11b35022f1ab1d08e60316f71ba1b.jpg


95177787998c579941eb54f2c2bb5ec6.jpg


f4499e68166687840b66b32d494b4bb4.jpg


dc1d886cfc388a4ed566685a70bfac0e.jpg


5457ccaa2684c9fda14df5f6872dfca1.jpg
 
Watu wengi wasichoelewa kuhusu Altezza ni kwamba unapokua nayo unareflect lifestyle yako..sio mambo ya mafuta wala sijui kutokuuzika...huyu mnyama ukishamfanyia mods unakula tu maisha...na 4.5-6.0km/l kwa mjini...

View attachment 1769408

View attachment 1769409

View attachment 1769410

View attachment 1769411

View attachment 1769412

View attachment 1769413

View attachment 1769414

View attachment 1769415
Mnyama mtamu sana huyo,kuna hii iko dar ya mshkaji uwa naikubali sana

Screenshot_20210526-151946_Instagram.jpg
 
Kwa mfano wote mnalingana kimo, umri na mwili lakini mwenzako anaweza kubeba gunia ila wewe hauwezi.
Hihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,hii naiona hata kwenye masuala ya ulaji,unamkuta mwamba ana mwili mdogodogooo ila chakula anachotupia mwilini ni balaaaa,bongenyanya linagusagusa tu
 
Gari haina heshima hiyo, imekaaa kitoto sana watu wenye heshima zao hawawezi kuikubari hiyo gari ya kitoto,ikipita mtaani kila mtu anajua kwa makelele yake,acha wakomae nayo watoto wanaonza maisha
 
Back
Top Bottom