Chemagati
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 214
- 284
nataka niijaribu hii kuanzia julykitu bora hapa hata kama majukumu yamezidi, huwa nasema hata kama unapata lets say 700,000 per month, ishi kama mtu anaepata laki 4, matumizi yaendane na lak 4, ona kama laki 4 ndo unayopata, panga bajeti zako zote kulingana na laki4, laki 3 fanya saving. inawezekana. Huwa nasema kama kuna watu wanapata laki2 au 3 wanaish why usifanye kama unapata lak 4 na ukaish nayo na 3 ukafanya saving?