Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,296
Mambo. .Long time!
Natumai ur all fine.
Well I may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?
Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.
Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.
One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu. ukienda male strip clubs yallah usiseme.
anyways blah to the blah..
Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa Tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! wanaugulia kiundani tuu.
Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? and that's what makes them happy! je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?
Kwa waelewa mtanielewa .Huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? it is wrong but isn't it personal freedom?
Natumai ur all fine.
Well I may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?
Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.
Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.
One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu. ukienda male strip clubs yallah usiseme.
anyways blah to the blah..
Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa Tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! wanaugulia kiundani tuu.
Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? and that's what makes them happy! je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?
Kwa waelewa mtanielewa .Huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? it is wrong but isn't it personal freedom?