Tuongee kuhusu USHOGA

Tuongee kuhusu USHOGA

Swts

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
3,062
Reaction score
1,296
Mambo. .Long time!

Natumai ur all fine.
Well I may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?

Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.

Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.

One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu. ukienda male strip clubs yallah usiseme.
anyways blah to the blah..

Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa Tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! wanaugulia kiundani tuu.

Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? and that's what makes them happy! je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?

Kwa waelewa mtanielewa .Huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? it is wrong but isn't it personal freedom?
 
Sio kila kinachofanyika US na huku kiwezekane.
i know that ila uelewe US ndio inarun duniani mkuu kubali kataa. and campaign yao ni kusambaza duniani kote.
 
wazungu jamii yao tayari imeshaharibika na ushoga so wanataka waharibu na africa ni jukumu letu waafrica kulinda tamaduni zetu na sio kukubali kila kitu chao hiv ushoga ukikithiri kutakuwa na vizazi huko mbele.
 
hapa ana maanisha kila mtu kimpango wake kama ananyonywa anyonywe kama anapakatwa apakatwe..

Huwezi kuacha kila mtu afanye vile anavyotaka wakati sio kitu kizuri kimaadili ndio maana tunajiweka sheria kama mtu anataka kufanya anavyotaka aende huko wanaporuhusu.
 
Wat is stl goin rong is we Afrcns we dont have a trdtn of being honest and open....eg...t z difclt to see an afrcn family dscsn ds mata....vry fw
2. Wat to be done....is to be real understandaning tha problm it self....family shld chunguza its member ili iwe ya kwanza kumjua shoga in their family and try to help him ASAP.
3. WAT IS WRONG IS NOT FREEDOM....Hop i ansd all of ur qtns
 
aisee...
Gay-wedding.jpg
images
 
Huwezi kuacha kila mtu afanye vile anavyotaka wakati sio kitu kizuri kimaadili ndio maana tunajiweka sheria kama mtu anataka kufanya anavyotaka aende huko wanaporuhusu.

Hivi hili jambo halina tatizo kiafya??
 
Binafsi hiki kitu sipendi hata kukisikia, sababu ni laana. Ni sawa na binadam tumepewa miguu halafu tunatembelea mikono, nonsense.. Lazima kuanzia ngazi ya familia mpaka serikali tuweke misimamo itakayozuia huu uchafu usiendelee. Hapa nachangia huku nimefumba macho.....
 
Swts just one question to you,vipi mtoto wako wa kiume akiwa shoga halafu ke kwenye relationship?
 
Last edited by a moderator:
unawaona wako nice kwako kwa sababu wana tabia za kike kama wewe so mnaendana tu...kama ilivyo wanaume wanavyowaona ma tom boy ...ushoga ni ujinga ni uharibifu ni laana na ni maangamizi ya vizazi vijavyo....assume kuwa na taifa la mashoga wanaume wasioweza kuzaa au kuwaridhisha wanawake tutaendeleza vipi kizazi hiki....wake up africans mnaangamizwa mnaangamizwa vibaya hizi ni mbinu za wazungu kuua kizazi cha kiafrika mmeonyeshwa mapono ya kishoga na kulana kababg na kuonyeshwa matamthilia ya kifilipino now it is the time to practise na naona wengi mnaanza kuelewa huu upuuzi....ushoga ni laana ushoga ni maangamizi....we inaelekea siku ukigundua katoto kako ka kiume kanakazwa utakaacha kaendelee maana ni haki yake....assume una watoto mashoga wa kujifunza !!!! Maana wapo wenye hormone za kike na wale wa kujifunza...ushoga sikia kwa jirani siku mmeo au mtoto wako akiwa shoga ndio utaelewa au siku ukiwa unaliwa wewe kabang ndio utaelewa siku ya kuzaa....huo ni uzinzi na laana....
NI UJINGA KUJADILI HAKI ZA KIPUUZI WAKATI HIZO HAKI ZENU TU BADO HAMJAZIELEWA....

Sio kila kitu umuige mzungu wake up you gal....
 
Inaelekea unataka kutueleza point muhimu sana ila tatizo uandishi kaka JF hatuna uandishi wa namna hiyo so badilika lemalbert for the better.
Wat is stl goin rong is we Afrcns we dont have a trdtn of being honest and open....eg...t z difclt to see an afrcn family dscsn ds mata....vry fw
2. Wat to be done....is to be real understandaning tha problm it self....family shld chunguza its member ili iwe ya kwanza kumjua shoga in their family and try to help him ASAP.
3. WAT IS WRONG IS NOT FREEDOM....Hop i ansd all of ur qtns
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom