reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,661
- 20,995
Inajulikana, kwenye kuifuata hapo ndio swali ambalo ukiniuliza nitakuambia wengi wetu 'hapana'Miiko ya ndoa mnaijua nyie vijana wa hiki kizazi?
Na ili mjuane, si lazima wote mkubali kuivunja?
Sasa vip Mwanamke/Msichana akiamua kuifuata na serious ukawa unauhitaji na ndoa nae?