Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,135
- 12,572
Nilikuwa napendekeza.
Tuweze kufikia uamuzi wa pamoja kama nchi kuondoa kipengele cha ukomo wa mihula katika katiba.
Hiki kipengele binafsi naona hakina maana wala faida yoyote ile kinapaswa kuondoshwa.
Uongozi unapaswa kupewa uhuru wa kuongezewa muda wa kuongoza pale utakapo onesha matokeo chanya kwa watu wake.
Tuache kasumba ya kuwa uongozi ni kutawala miaka 10 mitano kwa mitano.
Tuweze kufikia uamuzi wa pamoja kama nchi kuondoa kipengele cha ukomo wa mihula katika katiba.
Hiki kipengele binafsi naona hakina maana wala faida yoyote ile kinapaswa kuondoshwa.
Uongozi unapaswa kupewa uhuru wa kuongezewa muda wa kuongoza pale utakapo onesha matokeo chanya kwa watu wake.
Tuache kasumba ya kuwa uongozi ni kutawala miaka 10 mitano kwa mitano.