Tuombe mahojiano kati ya Prof Lumumba na Prof Kabudi kuhusu demokrasia na katiba. wote ndiyo wabobeaji wa sheria wa EA ingawa mmoja ni chawa na mtoa macho mkubwa. Hii itasaidi tujue tunaenda wapi kwa hoja.
View: https://youtu.be/QLp9ydc6K3I?si=ipvBzt3KHGEhw2sj
View: https://youtu.be/QLp9ydc6K3I?si=ipvBzt3KHGEhw2sj