Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 757
Aisee hebu punguza gadhabu...ni Baba wa watu naye anafamilia inamtegemea kama kosa alishafanya na hakuna pa kurekebisha!msamehe burekwa mwendo wa hovyo wa dereva na upitaji wake magari na jinsi alivyotupita kwenye kibao cha 50.na hata ajali kapata kwenye 50kph niwe muwazi nilitamani angekufa tu yule dereva.ule udereva wa misafara na ving'ora anauleta bila kuangalia speed za alama.anatembea speed za kipumbavu angekufa tu.pole yangu kwa mama pinda nawale wawili wengine lakini si kwa dereva