Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Mwisho wa Tunnel Guru ulikuwa jana kutumia line ya Zantel, tafuteni maujanja mengine
Mm nilishawambia watu wasi entertain sasa Kuropoka haya makitu
Tumetumia hizi settings na wadau wengi humu tokea DAVO walipobuma lkn ile siku nimepokea message kutoka kwa admin wa TG kwamba kuna Zantel settings nizijaribu nimpe jibu nikajua WAKUROPOKA washaharibu
Na mtu aliyemtumia hizo yulo hapa hapa JF kesho ake akapost FB mara server zikaanza kujaa hapo nikajua kabisa hawa zantel lazima washtukie tu
Angalia attachment hii na settings nilizotumiwa zilikua na jina la huyo mtu(jina nimeliifadhi)