Exactly mkuu Jeshi limekula kiapo cha kulinda mipaka yetu, kazi ambayo imewashinda ndio maana nchi imegeuka kuwa ni short cut ya human trafficking, why msomali aweze kuingia nchini na kusafiri nchi nzima from namanga hadi kasumulu bila ya jeshi kuliona hilo?,tusishangilie ujinga hawa wanajeshi wamefanya murder hapa,na low iQ ya middle class wetu wanashangilia,Jeshi ni mwiko kutumika dhidi ya raia, kazi ya Jeshi ni kulinda raia, Watanzania wajinga sana na low IQ.
Jeshi na wanajeshi wanakuwa trained kupigana vita dhidi ya adui slide nje ya mipaka ya nchi na siyo raia wake eti wanakwenda kupiga bodaboda halafu mnasifu kwani Tanzania ni failed state hadi Jeshi lilinde amani?
Low IQ!