Tunduru: Gari ya mchungaji, mfuasi wake pamoja na nguruwe 6 wachomwa moto

sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?

Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?

Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.

ukilewa dini hata uambiwe chochote kuhusu dini yako ambalo ni baya huwezi amini ha a zenji uchomwaji wa makanisa mlisema siyo wa dini yenu.
 
Ukweli unakuwa serikali inawaogopa waislamu! Au aidha waislamu wafanyao fujo huwa ni agizo la serikali ndiyo maana haiwezi kuingilia kati. Fikiria maneno mengi ya uchochezi yanayotolewa na Redio imani na washirika wake. Fikiri juu ya mtu aanayeitwa sheikh Ponda na matusi yote kwa imani nyingine. unadhani ingejaribu kufanya hivyo WAPO Radio, Radio Tumaini, nk leo ingekuwepo? Hapo JK anazidi kutueleza mambo kadhaa:
1. Ni yeye mfadhili wa mihadhara yote pamoja na matukio ya waislamu akishirikiana na Jeshi la polisi (Said Mwema na wenzake pamoja na Usalama wa CCM
2. Kama hilo si kweli angeshakemea, wahalifu wangeshakamatwa na kuchukuliwa hatua za nidhamu mara moja
3. JK au IGP wangeshatoa matamshi ya kulaani.

Kwa sababu hiyo nalazimika kuamini kuwa:
1. Serikali yetu ni chanzo cha machafuko yote yanayotokea hapa nchini yakiwemo ya kisiasa na kusingizia wengine
2. Kuna maslahi ya kisiasa serikali iliyoko madarakani inapata kwa uchochezi na vurugu zinazofanywa na waislamu kote nchini
3. Kuna uwezekano wa kupanga vurugu zitakazoletwa kwa misingi hii hii mara chaguzi muhimu zinapokaribia (hasa kwenye majimbo nyeti yanayoshikiliwa na watu wasiopendwa) hivyo kusababisha chaguzi hizo zisifanyike ili ukifika wakati wa uchaguzi mkuu waseme si mnaona majimbo yanayoongozwa na upinzani...

Kuna mixed feelings kwenye hili na tunashindwa kupata majibu sahihi lakini muda si mrefu tutapata majibu yake.

Nasubiri
 
Kitu kizuri na Cha Faraja Ni vile WAkristo Ni Wanyenyekevu na wanafundisha kwa UwaZi zaiDi 'Upendo' na wAna Ushirika Mkubwa na Jamii..

So then,
Kuna kitu Kinamiss kwa WAislam na Msingi mzima wa KufundiShana dhima Kuu 'Upendo ..

Si zama za JIhad , ama Mtu. Kupoteza Mali hAta Jicho Lake ama Kulinda Territory yake...Ni KufundishAna Kweli Ya Mungu na Matakwa yake

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Sisi Waislaam kuna aya ndani ya Qur'an inatuambia pindi tunapoletewa habari, haswa kutoka kwa 'mtu' asiye amini, basi tulifanyie uchunguzi. kwanza.
Ni wazi mleta uzi ni mfitini na mchochezi, na ma Mod wa JF wamekuwa wakiendekeza sana mitundiko ya aina hii yenye kukebehi, kukejeli na kubeza Uislaam.
Ukifanya tafakuri unajikuta na maswali mengi kuliko majibu, kwa mfano:
1. Sehemu husika ya tukio ni. wapi ? ni kijiji, tarafa, kata gani ?
2. Nini madai ya hao waliofanya hiyo jinai ?
3. Tunduru ina umaarufu wa Uislaam kiasi gani ? idadi ya waumini na misikiti.
4. Wakati haya yakitokea, wenye mali walikuwa wapi ?
5. Nguruwe wengi kiasi hichi walikuwa shabani au mabarabarani ?
6. Wahalifu wangapi wamekamatwa ?
7. Wana usalama (Polisi) wamethibitisha hili tukio ?
8. Vyombo gani vimeripoti hili tukio ?
9. Mleta mada amewahukumu kiujumla kuwa wahusika ni Waislaam, je anauthibitisho wa hilo ?
10. Kwa, Waislaam kufanya kitendo hicho, je kimawasaidia nini ? what is their principal objective ?
Kabla hamjaendelea na matusi na kejeli hebu dadavueni hayo maswali !
 
bora umeona mkuu, jf nayo imekuwa kijiwe cha porojo.
Watu hata hawahoji wapate taarifa za kutosha wanakimbilia kulaumu na kumwaga povu.

...............yaaani JF imekuwa kero sana, mada za kijinga jinga kutoka kwa watu mabwegge bwegge zinaendekezwa sana ! na wachangiaji waapuuzi wanamwaga tuu pumba bila tafakuri yeyote. Hii inashusha sana hadhi ya hapa. Mie huichukulia JF kwa uzito wa hali ya juu ya uweledi kiasi siwezi kujibu au kuanzisha uzi wowote mpaka nijridhishe kuwa nimefanya home work ya kutosha.
....ngoja tuangalie twendako !
 
mleta uzi hajatoa taarifa za kutosha kwasababu mwenyewe hajui kinacho endelea, angali ktk post zake utaona kaeleza mwenyewe.
Nimemshauri akatafute taarifa kamili kwanza kabla ya kuongea ananiita mi uamsho, sasa nashangaa alikuwa anatarajia kila atakacholeta jf watu wakiamini tu bila kuhoji?

Nashindwa kuelewa mantiki gani unatumia,nimeshiriki kuzima moto waliochomwa nguruwe jana usiku,nimeona magari yaliyochomwa,we unaniambia nikatafute chanzo,kama hakuna chanzo unamaanisha hayo matukio hayapo?chanzo wanakijua wanaotenda hayo.nimekwambia ni wiki ya tatu sasa tangu matukio haya yaanze lakini hata polisi wenyewe hawajamtia mbaroni yeyote isipokuwa hisia za wengi zinawanyoshea kidole ansar sunna na hii ni kutokana na wao kuonyesha chuki za wazi dhidi ya wakristo huku wakinadi kwamba wamedhulumiwa kwa muda mrefu na kwamba sasa wako tayari kujitoa muhanga dhidi ya makafiri,kama haitoshi kabla ya matukio haya kulikuwa na muhadhara na sihitaji kukwambia ktk mihadhara yao nini huwa kinahamasishwa.lakini si lazima ukubali,tunaambiwa you can wake up the one who is asleep but you cant wake up the one who is pretending to be asleep,
Kazi ni kwako.
 
Nashindwa kuelewa mantiki gani unatumia,nimeshiriki kuzima moto waliochomwa nguruwe jana usiku,nimeona magari yaliyochomwa,we unaniambia nikatafute chanzo,kama hakuna chanzo unamaanisha hayo matukio hayapo?chanzo wanakijua wanaotenda hayo.nimekwambia ni wiki ya tatu sasa tangu matukio haya yaanze lakini hata polisi wenyewe hawajamtia mbaroni yeyote isipokuwa hisia za wengi zinawanyoshea kidole ansar sunna na hii ni kutokana na wao kuonyesha chuki za wazi dhidi ya wakristo huku wakinadi kwamba wamedhulumiwa kwa muda mrefu na kwamba sasa wako tayari kujitoa muhanga dhidi ya makafiri,kama haitoshi kabla ya matukio haya kulikuwa na muhadhara na sihitaji kukwambia ktk mihadhara yao nini huwa kinahamasishwa.lakini si lazima ukubali,tunaambiwa you can wake up the one who is asleep but you cant wake up the one who is pretending to be asleep,
Kazi ni kwako.

..........kwa hiyo hiyo dhulma waliofanyiwa ni juu ya nguruwe na magari ? hao watu wamepita wakijinadi kuwa wako tayari kujitowa muhanga, lakini hapo hapo una comment kuwa hawajulikani !
Katika mihadhara walihamasishwa kuwa adui yao ni nguruwe ?
 
Hii thread inaonekana imekaa kiushabiki fulani hivi. Haionyeshi uhakika na ukubwa wa tatizo kiasi cha kuwafanya watanzania tuchangie kwa jazba namna hii. Kama vip jamani MODS block this thread. Inawajaza hasira watu wakati hatuna uhakika kama kweli hicho kinachosemwa kipo hivyo, mbona hatuoni kwenye tv au kusikia kwenye radio kama kweli hayo yametokea?? au hapo tunduru ni mbali kiasi hicho??? MODS P'SE, BLOCK THIS THREAD.
 
Let's keep telling the truth aboutIslam. If the Muslims don't like it, too bad. They choose the prophet ofviolence and the religion of violence. It is their problem, not ours. We shouldnever allow ourselves to be intimidated into silence by seventh century thugs.

Mtumia wingi always ana low self esteem.
 
Hii thread inaonekana imekaa kiushabiki fulani hivi. Haionyeshi uhakika na ukubwa wa tatizo kiasi cha kuwafanya watanzania tuchangie kwa jazba namna hii. Kama vip jamani MODS block this thread. Inawajaza hasira watu wakati hatuna uhakika kama kweli hicho kinachosemwa kipo hivyo, mbona hatuoni kwenye tv au kusikia kwenye radio kama kweli hayo yametokea?? au hapo tunduru ni mbali kiasi hicho??? MODS P'SE, BLOCK THIS THREAD.

Labda Moderator ana maslahi nao huu uzi !
 
Sasa hawa jamaa wanachoma mabanda ya nguruwe, hopefully na nguruwe wenyewe, ina maana wamesahau kuwa kuruani imewaruhusu kumla!!!!!
Naam wameambiwa "kuleni nguruwe" kwanini mfe kwa njaa wakati nguruwe wapo!!! Kuleni.

Enyi waislamu, ya nini kujitoa akili na maarifa ya kuruani?
 
..........kwa hiyo hiyo dhulma waliofanyiwa ni juu ya nguruwe na magari ? hao watu wamepita wakijinadi kuwa wako tayari kujitowa muhanga, lakini hapo hapo una comment kuwa hawajulikani !
Katika mihadhara walihamasishwa kuwa adui yao ni nguruwe ?

kama sio adui yao mbona hawamli huyo nguruwe, wanajirundikia mihasira ya bureee!!!
 
...............yaaani JF imekuwa kero sana, mada za kijinga jinga kutoka kwa watu mabwegge bwegge zinaendekezwa sana ! na wachangiaji waapuuzi wanamwaga tuu pumba bila tafakuri yeyote. Hii inashusha sana hadhi ya hapa. Mie huichukulia JF kwa uzito wa hali ya juu ya uweledi kiasi siwezi kujibu au kuanzisha uzi wowote mpaka nijridhishe kuwa nimefanya home work ya kutosha.
....ngoja tuangalie twendako !

Mpuuzi mwenyewe! Ama la sivyo usingechangia, narudia tena mpuuzi mwenyewe, usijesema nimekutukana maana mpuuzi atokana na upuuzi ulioutaja hapo kwenye bandiko lako!!!
 
sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?

Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?

Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.

ukilewa dini hata uambiwe chochote kuhusu dini yako ambalo ni baya huwezi amini ha a zenji uchomwaji wa makanisa mlisema siyo wa dini yenu.

wakipanda kwenye majukwaa wanauongelea ukristo, (rejea kwenye nyekundu) elimu ambayo hawana, kuna juzuu umeruka wewe kwenye chuo cha viboko!!!
 
aja jazba, leta taarifa ilokamilika na sio vipande vya habari.
Hii habari ipo nusu mkuu, kajipange vzr ujetena, usikurupuke.

malzia ww hiyo nusu iliyobaki maana umeng'ang'aniaaaa.. Mpgie simu OCD namba si ametoa hapo
 
Watunduru naona hapa umekosa hoja, sorry, nimeshindwa kukuelewa, kukupata na kukutetea pia.

Unless utuambie kilichotokea kwa kwa undani na some element za evidence.
Toa story kamili yenye details. Ukiweza weka picha.....weka maelezo ya polisi na weka maelezo ya waathirika na viongozi wa vijiji na mitaa.

Short of that, hii ni ngumu kumeza.

namba ya OCD si katoa jamani waambien waandishi wa habari wafuatilie au nyie wenyewe mpge simu
 
Last edited by a moderator:
jamani tutumie busara kdg, hakuna anaependa udini awe muislam au mkristo.
Mleta mada toa ufafanuzi tafadhali, hayo matukio yameanza lini, chanzo ni nini?
Ungetufafanulia manake binafsi hizo taarifa sijazisikia hata kwenye chombo kimoja cha habari.
Siamini kama kuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaeweza akafanya hayo uloeleza bila sababu.0ungetoa taarifa kamili bila upendeleo tuweze kujadili vzr manake taarifa yako ya awali inaonekana kuelemea upande mmoja.

Pili hakuna sehemu yoyote katika mafundisho ya uislam panapofundisha kudhulumu, kuharibu mali ya mtu au kuu asie na hatia.
Anaefanya hivyo kakiuka misingi ya uislam na anapaswa ahukumiwe kama mhalifu mwingine na si kuhukumu dini yake kwani uislam haufundishi hivyo.
Mkuu hii habari ni kweli nimeisikia Radio wapo fm jioni ya leo.
 
wakipanda kwenye majukwaa wanauongelea ukristo, (rejea kwenye nyekundu) elimu ambayo hawana, kuna juzuu umeruka wewe kwenye chuo cha viboko!!!

.....ndani ya Qur'an kuna Injil, hivyo tunajua kilicho sahihi katika Biblia na kilicho potoshwa !
Soma hii hoja hapa kama unaweza kuidadavua:

..........Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu: Muislaam, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walioamini (kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini. Qur'an:3:67-68.
 
.....ndani ya Qur'an kuna Injil, hivyo tunajua kilicho sahihi katika Biblia na kilicho potoshwa !
Soma hii hoja hapa kama unaweza kuidadavua:

..........Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu: Muislaam, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walioamini (kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini. Qur'an:3:67-68.

Mohamedi aliiba mistari ya bible akapotosha.
 
Back
Top Bottom