fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?
Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?
Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.
ukilewa dini hata uambiwe chochote kuhusu dini yako ambalo ni baya huwezi amini ha a zenji uchomwaji wa makanisa mlisema siyo wa dini yenu.