guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Wameshamwachia?
Uongozi JF ni waombe jukwa la siasa ikifika ijumaa saa6 usiku lifungeni mpaka jumatatu watu wakishakunywa supu kuondoa hangover. Michango kwenye hii thread mingi ni ya kilevi kilevi. Watu wameshalewa.
Hao wananchi wanaondamana kwenda kituo cha polisi wawe wa mfano kwa wengine maana Lissu keshawalisha ujinga.
Moto soonPenye moshi.?
Vip ao chadema mnao waita Raia wamefanikiwa kumtoa uyo mhamiaji haram hahahaha uku mnaongea ila uwanjani konzi moja mbioHivi Tz hatujifunzi tuu?? Maono ya wananchi huwezi kuyazuia kwa mabomu na mitutu!! Weka uwanja wazi watu washindane kwa hoja na wananchi waamue, vinginevyo ni kutafuta vurugu zisizo na maana!!
Hili vuguvugu la mabadiriko huwezi kulizuia kwa mitutu. Wenye mamlaka kuweni na busara!!
Sio Wana nch Sema Wana chama wa chadema wamepigwa mabom wakijaribu kumtorosha muhamiaj haramMabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
aliachiwa na polisI au bado yupo ndni
Watanzania kweli amechokaUshauri huo sikubaliani nao. Wakiuwa na nyie UWENI. Kodini hata silaha toka Zambia na Congo wafuate hao askali kwenye familia zao uwa yoyote anye wahusu. Kama ni mke au mtoto umemkuta uwa tu. Tumechoka na hao mgambo wa ccm. Uwa wafuate nyumbani kwao.
Mpaka hapa ameshaingia tayariNilishawahi kusema humu kuwa IGP Sirro ataingia kwenye historia kuwa IGP wa hovyo kupata kutokea ndani ya Tanzania huru.
Atajiaibisha yeye, familia yake hata na mtoto wake mmoja kule Mwanza ambaye naye ni polisi.
Ukizingatia kwamba polisi Ni wachache hawana uwezo was kupambana na nguvu ya umma duniani kote.Hivi Tz hatujifunzi tuu?? Maono ya wananchi huwezi kuyazuia kwa mabomu na mitutu!! Weka uwanja wazi watu washindane kwa hoja na wananchi waamue, vinginevyo ni kutafuta vurugu zisizo na maana!!
Hili vuguvugu la mabadiriko huwezi kulizuia kwa mitutu. Wenye mamlaka kuweni na busara!!
Ndio kilichobaki na wengi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi hasa polisi waliingia kwaajili ya ajila tu. So kikiwaka wote hutawaona watatawanyika mpaka kiranja wao.Ewe Mjomba Ak47 tuokoe wanao tuko jangwani miongo yapata sasa,usitupite unapodhuru wengine#AMEN
Utambue sasa hapo kuna maandamano sasa hivi.......timing ya kumkamata inamata sana. Sijuwi kama utanielewa hata.Mtu akiwa si raia unamdaka popote awe njiani au anaelekea chooni Huwezi SEMA tumsubiri Aende kunya kwanza ndio tuondoke naye atakunya mbele hata uhamiaji vyoo vipo
Sina shida na maandamano ila mtu akidakwa Ni ya kwake kipindi hiki Cha uchaguzi Hakuna mtu wa kuhangaikia dhamana Ni yeye mhusika aliyedakwa na ndugu zake vyama vinakuwa busy na uchaguziUtambue sasa hapo kuna maandamano sasa hivi.......timing ya kumkamata inamata sana. Sijuwi kama utanielewa hata.
Mbona kama mwaanza kumletea viroja badala ya hoja?Chadema lisu amewadanganya sana. Kwa sisi tunaojua siasa, lissu ni mwepesi sana.
Wangapi wamedakwa na hakukuwa na maandamano?, wangapi wamedakwa jana na kutoka kwa dhamana??........Sina shida na maandamano ila mtu akidakwa Ni ya kwake kipindi hiki Cha uchaguzi Hakuna mtu wa kuhangaikia dhamana Ni yeye mhusika aliyedakwa na ndugu zake vyama vinakuwa busy na uchaguzi
Timing hii sio nzuri kudakwa na polisi kesi nyingi ukidakwa zitakuwa Baada ya uchaguzi . Kipindi hiki si kizuri Sana kwa mtu kudakwa Ni kwa hasara yake
Unaota kipindi Cha uchaguzi majeshi yote yabafanya kazi kwa pamoja .Uliza watu wa Dar es salaam wakwambie labda washamba huko Tunduma hamjui Hilo . Unadhani ukianzisha fujo majeshi mengine yatakuwa yanakutazama tu ukiadhibi polisiUkizingatia kwamba polisi Ni wachache hawana uwezo was kupambana na nguvu ya umma duniani kote.
Sijui hayo yanayosemekana maandamano ndio nayasikia humu jamii Forums Mimi na comment tu sina ushahidi kuwa yapo na base tu kwenye assumption zilizoletwaWangapi wamedakwa na hakukuwa na maandamano?, wangapi wamedakwa jana na kutoka kwa dhamana??........
Nguvu ya umma iliwezekana tu pale jeshi lilipoasi na kuwa sehemu ya umma.Nchi hailindwi na polisi tu naona una vimawazo vya kishamba na kitotoUkizingatia kwamba polisi Ni wachache hawana uwezo was kupambana na nguvu ya umma duniani kote.