Hichi ndicho kinachowadanganya miaka yote lakini bado hamkomihuu ni mwanzo tu,salamu kwa jiwe ni vigumu kuiua chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hichi ndicho kinachowadanganya miaka yote lakini bado hamkomihuu ni mwanzo tu,salamu kwa jiwe ni vigumu kuiua chadema
Wananchi wanachonganishwa na jiwe kivipi?Tuache na ww ,tutasema mnaleta mtafaruko kweny jamii na kumchonganisha mkuu na wananch
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kaka yake maza huyoNaona unamuenzi babu yako mzaa mama kwenye avatar yako.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Huna kosa nenda!Kwan kuna kosa gan mm kwenda popote tz na kuongea na watanzania wenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani haikukatazwa? Ingizeni polisi wenu sasa muone kitakavyowalipukia.Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Ni kweli upinzani ni itikadi.Mhhhh watu kumbe bado wana imani na chadema. Ukisikiliza maneno ya akina pole pole unaweza dhani chadema imekufa. Nimeamini kumbe kuwa upinzani ni kama imani ambayo ipo mioyoni
Nafikiri hata Mwenyekiti wa Chadema anatakiwa akabidhi kijiti kwa Mtu shupavu toka Nyanda za juu kusini.Ndomaana Magu hawapendi watu wa nyanda za juu kusini
Nafikiri hata Mwenyekiti wa Chadema anatakiwa akabidhi kijiti kwa Mtu shupavu toka Nyanda za juu kusini.
Uwezo wa kupigania maslahi ya nchi wanao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao hapo wamekuja kuuza bidhaa zao tu kama karanga,ubuyu pia wengine wapo hapo ili muda uende tu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Yule wa wodini huko ubelgiji ameshamaliza kupasuliwa?Yule ambae yupo ICU Muhimbili anaendeleaje??
Wewe ni fa.la.... mpu.mbavu mkubwa wewe. Shetani na ibilisiEti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Ni utoto wa kiutuuzima kufikiri hivyo.Na watu wenye mawazo hayo hata familia zao wanazinyanyasa,kwasababu hata ktk familia kila mmoja ana mawazo tofauti na mwenzake.Sasa ukiwa na roho ya ubinafsi utazuia hata wenzako kuongea.
Nipo hapa Milembe, naombeni aletwe haraka hata kwa hati ya dharuraAnayefikiri CHADEMA au Upinzani unakufa/unatoweka/unaisha akapimwe akili