Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Lissu ameamua kupambana na jinai ambayo wengi waliiogopa. Ni ukweli kuwa mahakama zetu hazina hadhi wala maana kama zamani. Lissu ametoa ushahidi wa majaji vihiyo hata watoa rushwa waliopewa ujaji na Jakaya. Aliwataja Zainab Mruke na Nyangalika ambao kusema ukweli hata elimu yao ni ya mashaka. Muruke hata final paper yake alifanyiwa. Alipata masters kiajabu sijui kwa kuvua chu.. Kwa wanaojua hawa majaji wanashangaa jinsi vituko kama hivi vinaweza kuitwa majaji. Ukichanganya na ile ya wahalifu kama Mwanaidi Majaar kupewa ubalozi unabaki kushangaa. Mungu inusuru Tanzania na hili balaa linaloitawala kwa sasa.