Taifa hili lazma liwe na ukomo wa kutoa maoni .Mambo ya nchi lazma yazibitiwe.Viongozi mkiyaacha uchi watanzania wataingia barabarani.Chuki na viporo vya majeraha tumeisha zika.Tujenge TZ yetu.Hata kama twataka serikali tatu au mbili jaribuni kusemea hayo tu.Hayo machungu utnaweza kufanya nchi isitawalike.Kama hivyo Majeshi yatachukua nchi.
usitishe watu kwa jeshi kuchukua nchi,hao wanajeshi nao si ni watz? Bora wanajeshi wachukue nchi kuliko haya mafisadi ya ccm yaliyoshindwa kwa miaka 50!