kituma12
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 301
- 122
Prof . Muhongo alikuwa ameinamisha kichwa kwa masikitiko nadhani alikubuka siku yake ya kwanza bungeni na alivyo sasaProf Muhongo na Mtemi Chenge walikuwa wanatingisha kichwa cha dharau. Check ile clip