Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
akiwakubalia basi hata vyeti vya BASHITE vitapatikana
Halafu, hivi huyo Lissu naye hakuwahi kusema kuwa hamtambui Magu kuwa ndo rais?
Bora kuwa bashite kuliko nyumbuKumbe kina Bashite mpo wengi sana ndani ya ccm yaani mmeshindwa kujumlisha na kutoa?
Kesha shinda urais sasa unadhani anapalilia nini, lazima atafute mbinu ya kukaa meza moja na wafalme! hahaha, halafu akifika huko atamuambia rais, mkuu zile zilikuwa kampeni tu, wacha tule kuku, wewe kaza buti ili watz wanyooke, ahahaha, chezea siasa weyehaahaa lissu noma.....
Upinzani sio kila kitu kupinga nyumbu ww..Watu msioelewa kitu kama nyie mnaweza mkatukanwa msijue na mkakenua meno kwa kuhisi mmesifiwa!
Huyu Nyani Ngabu ni zaidi ya kibatariTakataka
Nyumbu ni babakoBora kuwa bashite kuliko nyumbu
Kibatari weweKesha shinda urais sasa unadhani anapalilia nini, lazima atafute mbinu ya kukaa meza moja na wafalme! hahaha, halafu akifika huko atamuambia rais, mkuu zile zilikuwa kampeni tu, wacha tule kuku, wewe kaza buti ili watz wanyooke, ahahaha, chezea siasa weye
Acha jazba mambo haya hayataki hasiraNyumbu ni babako
Mwanasheria wa Chadema na rais wa TLS akiwa anahojiwa na radio Times FM akijibu ni jambo gani ambalo wanaweza kumpongeza rais Magufuli amedai yapo na TLS wameomba mwaliko wa rais ili wakampongeze.
Tundu Lissu amedai rais ametenda mengi na mengine ni mazuri na pia anastahili pole kwa kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu, akisema alimuona jana alikuwa amechoka
Pia amewaambia wananchi kuwa wasiipe TLS nguvu kubwa kwakuwa TLS haisimamii mahakama wala haiteui majaji na hivyo sio wategemee kuwa kesi za uonevu , au kucheleweshwa kwa kesi ni jambo ambalo linaweza kutatuliwa na TLS pekee
Anamsifia kwa jitihada zake za kupambana na kuumiza wengine bila mafanikio,rejea urais wa TLS nini kilijili, na ni jambo la busara rais mwelevu kukutana na rais kimeo pengine mmoja anaweza kukopy ya mwenzieAmeanza kumsifia tena!!????
Haya bhana
Mantiki kuna ulazima gani yeye kuonana na rais wakat alishajua kuwa na ni rais wa ajabu!!! Usipeleke mada pembeni.Maelezo yametofautiana kabisa na picha.
Picha ni kati ya Tundu Lissu na Kikwete wakati maelezo ni Tundu Lisu na Magufuli
Mantiki kuna ulazima gani yeye kuonana na rais wakat alishajua kuwa na ni rais wa ajabu!!! Usipeleke mada pembeni.
Huna maana nenda hukoNashangaa Tundu Lissu alivyomwita Mhe. Rais Magufuli kuwa ni rais wa ajabu aijawai tokea!!!!. Sasa kulikoni amuandikie barua ya kutaka kuonana nae Mhe. Rais baada yeye kuchagua kuwa rais wa TLS.
Vipi km ameshagundua km rais wa ajabu atake kuonana nae??? Je kuna umuhimu wa kuonana na rais wa ajabu ???
Hujui unachoongeaHuna maana nenda huko