white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
wachache sana waliomuelewa lissuGuys can't you read between the lines? Hebu msome tena Lissu taratibu.
wachache sana waliomuelewa lissuGuys can't you read between the lines? Hebu msome tena Lissu taratibu.
Kweli kila binadamu ana mazuri na mbaya yake.Tundu Lissu kaongea vizuri sana.hii kauli is very soothing... congrats Rais wa TLS.. Hapa hata ukimkosoa mtu anakubali na mnaelekezana... we need to excercise this...si kila siku maugomvi,kejeli n.k...
Hapo ndio utajua aliyeenda shule kuelimika na yule aliyeenda shule kukua.wachache sana waliomuelewa lissu
hahahahaha kweli kabisa yaani watu wamepanic kweli kumuona lissu anamsifia rais kumbe mwenzie anamla kisogoHapo ndio utajua aliyeenda shule kuelimika na yule aliyeenda shule kukua.
Mwanasheria wa Chadema na rais wa TLS akiwa anahojiwa na radio Times FM akijibu ni jambo gani ambalo wanaweza kumpongeza rais Magufuli amedai yapo na TLS wameomba mwaliko wa rais ili wakampongeze
Tundu Lissu amedai rais ametenda mengi na mengine ni mazuri na pia anastahili pole kwa kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu, akisema alimuona jana alikuwa amechoka
Pia amewaambia wananchi kuwa wasiipe TLS nguvu kubwa kwakuwa TLS haisimamii mahakama wala haiteui majaji na hivyo sio wategemee kuwa kesi za uonevu , au kucheleweshwa kwa kesi ni jambo ambalo linaweza kutatuliwa na TLS pekee
Juice?? Hii hii inayouzwa supermarkets? Mh. Lissu afuate juice Ikulu? Stop underrating the Hon. Lissu.Kazimisi juisi za mkwere eeh, kule ni maji ya kunywa tu hamna kingine siku hizi.
Hawezi kuelewa huyo, wamezoea maneno mepesi mepesi!Guys can't you read between the lines? Hebu msome tena Lissu taratibu.
Sio kila anaekupigia makofi anakushangiliaAmeanza kumsifia tena!!????
Haya bhana
Mwanasheria wa Chadema na rais wa TLS akiwa anahojiwa na radio Times FM akijibu ni jambo gani ambalo wanaweza kumpongeza rais Magufuli amedai yapo na TLS wameomba mwaliko wa rais ili wakampongeze
Tundu Lissu amedai rais ametenda mengi na mengine ni mazuri na pia anastahili pole kwa kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu, akisema alimuona jana alikuwa amechoka
Pia amewaambia wananchi kuwa wasiipe TLS nguvu kubwa kwakuwa TLS haisimamii mahakama wala haiteui majaji na hivyo sio wategemee kuwa kesi za uonevu , au kucheleweshwa kwa kesi ni jambo ambalo linaweza kutatuliwa na TLS pekee
Kumbe anajua TLS ni nothing kwenye muhimili uliojichimbia zaidi!!!
Na pipi kifuaKazimisi juisi za mkwere eeh, kule ni maji ya kunywa tu hamna kingine siku hizi.
Hiyo ni gia tu ndugu yangu. Ukitaka kumchana mtu live anza kwa kumsifia kwanza. Akishaingia ikulu ndiyo itajua tuna rai.. Wa ajabu haijawahi kutokeaAmeanza kumsifia tena!!????
Haya bhana
Nadhani wameomba Makusudi
Kazimisi juisi za mkwere eeh, kule ni maji ya kunywa tu hamna kingine siku hizi.
All of sudden TLS is "useless", sasa zile nguvu zote ilikuwa nini?? Kupata airtime au??