Tundu Lissu: Siwafahamu walionipiga risasi

Tundu Lissu: Siwafahamu walionipiga risasi

Akihojiwa jioni hii, mbunge Tundulisu amelilaumu sana bunge kwa kumtelekeza bila matibabu.

Badala ya kumlilia babu yako alie kaburini huko kwenu Lufilyo unamlilia Lissu hata hakujui
Mwambieni Lissu kuwa alipokua hajitambui, chadema walimbinafsisha na kukataa huduma ya bunge na serikali ili watafune michango

Mbona hukulia wakati chadema wanakataa msada wa serikali kwa kisingizio kwamba atahujumiwa
Lia mpaka ujiharishie
 
Tatizo ni Mbowe kuweka swala la Lissu ni propaganda ya Chama..!
 
..kwanini serekali hawakuchunguza watu waliokuwa wakimfuatilia TL ni wakina nani?

..TL alikamatwa na kuhojiwa kwa mambo aliyoyasema kwenye press conference aliyotoa taarifa kuwa anafuatiliwa.

..sasa kwanini Polisi wakawa selective kumhoji kwa masuala mengine, lakini wakaacha hili la kufuatiliwa na watu asiowajua?

..kwa maoni yangu TL aliwapa polisi taarifa za kiinteligensia[kufuatiliwa], ambazo kama wangezifanyia kazi huenda zingemuokoa na shambulizi hili.
Katika maisha yangu yote mpaka hapa nilipofikia utu wa makamo nimekuwa mtu wa kujiweka mbali na kuepuka sana na tabia au habari za Ubazazi (Speculation). Na imenisaidia sana maishani.

Je una hakika pasipo na shaka ya kuwa Tundu Lissu aliwasilisha ushahidi Stahiki kwa vyombo vya ULINZI na Usalama halafu akapuuzwa!? Una uhakika gani ya kwamba "Polisi walikuwa selective kumhoji kwa masuala mengine"!?
Naomba majibu mkuu.
 
nachukia staili ya ukosoaji ya huyu bwana ndugu ila anavolalamika kutotembelewa na taasisi na watu ambao walikua na sababu zote, wajibu na means za kwenda kumtembelea nimejisikia kumhurumia sana. Tuseme yote ila naamini amefarijika pakubwa mnoo kupata ugeni wa VP na salam kutoka kwa the C in C.
Bado tunapenda kupata upande wa pili wa matukio kutoka kwa watu kama hawa ila sasa namna yake ya kukosoa inachochea watu "kujitoa akili" (regardless alimwagiwa njugu kwasababu hiyo au watu waliitumia hiyo kama pretext ya kufanya false flag Op).. namuangalia siku moja ITV yupo na ndugai wamekaribishwa na masako, alivokua anamjibu ndugai kwa kejeli na dharau nawaza "hata kama" bwana
 
Na wewe umeamini hilo?
Kama kaongea kuhusu mkewe kwamba ni mke anayejali Lisu awe na aibu na awe mkweli nitakuambia usemi unaosema hawara mume wa mutu akiondoka akikukimbia kwenda nyumba ndogo akipata tatizo LA kuuguzwa atakutimua kuwa nenda kwa mkeo hapa kwangu.sio wodi ya wagonjwa.Ndicho alichofanya Lisu.Pole mama Lisu.Mungu akupe uvumilivu na imani.Pole mama.Uguza pole
 
Mkuu Lissu ana akilisana, hata mimi siwezi kukiri hadharani kwamba nawafahamu wakati naona karibuni nitatoka hospitali kurudi kwa hao watu. Ikitokea wakakutana ghafla wakati alishawataja unafikiri usalama ukoje? Acha asiwafahamu tu ila mimi nimeelewa kwa nini hawafahamu. Hapa TZ wanaitwa wasiojulikana.
Mkuu lisu kaongea ambacho hamkutaka kukisikia na sasa mnajitaid kutafuta maana ya maneno yake kujipoza nafsi zenu
 
Dah, nimesoma hii kitu nimejisikia kutokwa na machozi. Mungu akuponye, hakuna mwanadamu mwenye haki miliki ya kutoa uhai wa mwenzie. Hii ni chuki nzito moyoni
 
Katika maisha yangu yote mpaka hapa nilipofikia utu wa makamo nimekuwa mtu wa kujiweka mbali na kuepuka sana na tabia au habari za Ubazazi (Speculation). Na imenisaidia sana maishani.

Je una hakika pasipo na shaka ya kuwa Tundu Lissu aliwasilisha ushahidi Stahiki kwa vyombo vya ULINZI na Usalama halafu akapuuzwa!? Una uhakika gani ya kwamba "Polisi walikuwa selective kumhoji kwa masuala mengine"!?
Naomba majibu mkuu.

..hebu twende taratibu kidogo.

..TL aliitisha press conference ambapo alizungumzia suala la kufuatiliwa na watu aliodai ni usalama wa taifa, pamoja na suala la kukamatwa kwa ndege yetu Canada.

..sasa jambo la kushangaza alihojiwa kwa masuala ya kukamatwa ndege yetu Canada, lakini suala la kufuatiliwa wahusika hawakushughulika nalo.

..Serekali ilikuwa bize kujibu suala la ndege kukamatwa ambalo kwangu siyo suala kubwa, kwasababu serekali kudaiwa siyo jambo la ajabu. Lakini serekali hawakujibu kuhusu tuhuma dhidi ya jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa kwamba kuna watu wao wanamfuata-fuata TL kila anapokwenda.

..Kwa hiyo mimi ndiyo maana nime-conclude kwamba wahusika huko Polisi na usalama wa taifa "dropped the ball" au walizembea kushughulikia "tip" waliyopewa kwenye press conference TL na matokeo yake ndiyo haya ameshambuliwa.

..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wawe "machale" saa zote. Hawatakiwi kusubiri kwenye madawati yao waletewe taarifa za Kiinteligensia. Madai kwamba Polisi hawakupewa "taarifa rasmi" ofisini kwao kuhusu TL kufuatwa-fuatwa na hivyo hawakushughulika na taarifa hizo naamini zinaleta picha isiyo nzuri kuhusu utendaji/umakini wa jeshi letu.
 
..hebu twende taratibu kidogo.

..TL aliitisha press conference ambapo alizungumzia suala la kufuatiliwa na watu aliodai ni usalama wa taifa, pamoja na suala la kukamatwa kwa ndege yetu Canada.

..sasa jambo la kushangaza alihojiwa kwa masuala ya kukamatwa ndege yetu Canada, lakini suala la kufuatiliwa wahusika hawakushughulika nalo.

..Serekali ilikuwa bize kujibu suala la ndege kukamatwa ambalo kwangu siyo suala kubwa, kwasababu serekali kudaiwa siyo jambo la ajabu. Lakini serekali hawakujibu kuhusu tuhuma dhidi ya jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa kwamba kuna watu wao wanamfuata-fuata TL kila anapokwenda.

..Kwa hiyo mimi ndiyo maana nime-conclude kwamba wahusika huko Polisi na usalama wa taifa "dropped the ball" au walizembea kushughulikia "tip" waliyopewa kwenye press conference TL na matokeo yake ndiyo haya ameshambuliwa.

..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wawe "machale" saa zote. Hawatakiwi kusubiri kwenye madawati yao waletewe taarifa za Kiinteligensia. Madai kwamba Polisi hawakupewa "taarifa rasmi" ofisini kwao kuhusu TL kufuatwa-fuatwa na hivyo hawakushughulika na taarifa hizo naamini zinaleta picha isiyo nzuri kuhusu utendaji/umakini wa jeshi letu.
Mkuu tuhuma au malalamiko yyt kama sio kiki au kutaka umaarufu wa kisiasa huripotiwa polisi sio kuitisha press conference. Hata ww ukitishiwa maisha hukusanyi wanakijiji na hata ukikusanya wanakijiji na kuwaambia umetishiwa maisha maoni utakayopewa ni kwamba peleka hayo madai polisi sio kwamba waseme we tulia tu polisi itasikia na itafanyia Kaz.
 
Mkuu tuhuma au malalamiko yyt kama sio kiki au kutaka umaarufu wa kisiasa huripotiwa polisi sio kuitisha press conference. Hata ww ukitishiwa maisha hukusanyi wanakijiji na hata ukikusanya wanakijiji na kuwaambia umetishiwa maisha maoni utakayopewa ni kwamba peleka hayo madai polisi sio kwamba waseme we tulia tu polisi itasikia na itafanyia Kaz.

..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wapate taarifa kwa njia "rasmi" na njia "zisizo rasmi."

..Mtu anadai anafuatwa-fuatwa na jeshi la polisi na usalama wa taifa halafu watu hawashughuliki naye unaona ni jambo la kawaida?

..kwanini hawakumshughulikia kwa kushfa dhidi ya jeshi la polisi na usalama wa taifa?

..they just dropped the ball in this case na hawataki tu kukubali kwamba walifanya uzembe.

cc Nyani Ngabu
 
..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wapate taarifa kwa njia "rasmi" na njia "zisizo rasmi."

..Mtu anadai anafuatwa-fuatwa na jeshi la polisi na usalama wa taifa halafu watu hawashughuliki naye unaona ni jambo la kawaida?

..kwanini hawakumshughulikia kwa kushfa dhidi ya jeshi la polisi na usalama wa taifa?

..they just dropped the ball in this case na hawataki tu kukubali kwamba walifanya uzembe.

cc Nyani Ngabu

I have a feeling waliohusika will get away with it!

Think about it....more than two months have gone by and there’s not even a person of interest let alone a suspect or suspects....
 
I have a feeling waliohusika will get away with it!

Think about it....more than two months have gone by and there’s not even a person of interest let alone a suspect or suspects....

..Tanzania tunasifiwa kwamba we have the BEST intelligence in Africa.

..sasa imekuwaje Chief Whip wa opposition camp akashambuliwa ktk makazi ya viongozi wa serekali?

..tena ni eneo lenye walinzi round the clock. walinzi walikuwa wapi?

..zaidi kuna CCTV camera ktk eneo la tukio na bado vyombo vyetu miezi miwili ++ havina majibu ya tukip hili.

..Kwanini wanashindwa kutoa majibu ya tukio hili na kuwakamata wahusika?

..Heshima yetu na umahiri wa the best intelligence system in Africa iko wapi?

cc MISULI
 
..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wapate taarifa kwa njia "rasmi" na njia "zisizo rasmi."

..Mtu anadai anafuatwa-fuatwa na jeshi la polisi na usalama wa taifa halafu watu hawashughuliki naye unaona ni jambo la kawaida?

..kwanini hawakumshughulikia kwa kushfa dhidi ya jeshi la polisi na usalama wa taifa?

..they just dropped the ball in this case na hawataki tu kukubali kwamba walifanya uzembe.

cc Nyani Ngabu
Lisu ni mwanasheria na kikawaida swala la maisha ni nyeti sana.Huwez acha kwenda kuripoti sehem husika et polisi wafanyie kazi mattz yako.Una ushahid usiotia shaka kuna ugumu gan kwenda polisi?Wajibu wa lisu ilikua kupeleka taarifa polisi na kuona inafanyiwa Kaz au lah.Kuliibuka wimbi la wabunge kila mtu kusema anatishiwa maisha lkn hata siku moja hatujawah sikia wamefika polisi kupeleka malalamiko yao.Mimi naamn UHAI wa mtu ni kitu cha thaman sana na mtu hupaswi kuchezea. Hivyo basi wangekuwa sio wapenda KIKI naamn break ya kwanza ni kituoni na baada ya hapo ndo labda waitishe press conference.
 
Back
Top Bottom