ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 956
- 1,878
Basi wakamateni waliohusika tuwajue
Si usikilize mwenyewe! Acha uvivu!Mkuu Dakika Hamsini Nyingi. Na je hiyo ni tafsiri yako au. Hebu isikilize interview yote na utuwekee hapa kwa maandishi itapendeza.
Kama taarifa za mdomo hazina tija Kwa polisi wanasubiri had waletewe! Mbona lissu kakamatwa Mara nyini bila kibari?Lisu ni mwanasheria na kikawaida swala la maisha ni nyeti sana.Huwez acha kwenda kuripoti sehem husika et polisi wafanyie kazi mattz yako.Una ushahid usiotia shaka kuna ugumu gan kwenda polisi?Wajibu wa lisu ilikua kupeleka taarifa polisi na kuona inafanyiwa Kaz au lah.Kuliibuka wimbi la wabunge kila mtu kusema anatishiwa maisha lkn hata siku moja hatujawah sikia wamefika polisi kupeleka malalamiko yao.Mimi naamn UHAI wa mtu ni kitu cha thaman sana na mtu hupaswi kuchezea. Hivyo basi wangekuwa sio wapenda KIKI naamn break ya kwanza ni kituoni na baada ya hapo ndo labda waitishe press conference.
Hukamatwa kwakua ye ndo huwa mtenda kosa.Na wanampuuza kwa malalamiko yake coz hayawaathiri chochote zaid wanajua ni KIKI tu ka angekua serious angeenda kufungua jarada la malalamiko. Mkuu yan ww unaleta mzaa na maisha yako unategemea polisi waangaike?Kama taarifa za mdomo hazina tija Kwa polisi wanasubiri had waletewe! Mbona lissu kakamatwa Mara nyini bila kibari?
Lisu ni mwanasheria na kikawaida swala la maisha ni nyeti sana.Huwez acha kwenda kuripoti sehem husika et polisi wafanyie kazi mattz yako.Una ushahid usiotia shaka kuna ugumu gan kwenda polisi?Wajibu wa lisu ilikua kupeleka taarifa polisi na kuona inafanyiwa Kaz au lah.Kuliibuka wimbi la wabunge kila mtu kusema anatishiwa maisha lkn hata siku moja hatujawah sikia wamefika polisi kupeleka malalamiko yao.Mimi naamn UHAI wa mtu ni kitu cha thaman sana na mtu hupaswi kuchezea. Hivyo basi wangekuwa sio wapenda KIKI naamn break ya kwanza ni kituoni na baada ya hapo ndo labda waitishe press conference.
hii comment yako kama inaonyesha chuki vile?waambie polisi kuwa wenzke mbowe wanahusika kwenye shambulio la tundu lisu.Mbowe ndio ameshushuka sio au?
Halafu ndie anayejua wenzake waliohusika.
Mkuu,..hebu twende taratibu kidogo.
..TL aliitisha press conference ambapo alizungumzia suala la kufuatiliwa na watu aliodai ni usalama wa taifa, pamoja na suala la kukamatwa kwa ndege yetu Canada.
..sasa jambo la kushangaza alihojiwa kwa masuala ya kukamatwa ndege yetu Canada, lakini suala la kufuatiliwa wahusika hawakushughulika nalo.
..Serekali ilikuwa bize kujibu suala la ndege kukamatwa ambalo kwangu siyo suala kubwa, kwasababu serekali kudaiwa siyo jambo la ajabu. Lakini serekali hawakujibu kuhusu tuhuma dhidi ya jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa kwamba kuna watu wao wanamfuata-fuata TL kila anapokwenda.
..Kwa hiyo mimi ndiyo maana nime-conclude kwamba wahusika huko Polisi na usalama wa taifa "dropped the ball" au walizembea kushughulikia "tip" waliyopewa kwenye press conference TL na matokeo yake ndiyo haya ameshambuliwa.
..Polisi na Usalama wa Taifa wanatakiwa wawe "machale" saa zote. Hawatakiwi kusubiri kwenye madawati yao waletewe taarifa za Kiinteligensia. Madai kwamba Polisi hawakupewa "taarifa rasmi" ofisini kwao kuhusu TL kufuatwa-fuatwa na hivyo hawakushughulika na taarifa hizo naamini zinaleta picha isiyo nzuri kuhusu utendaji/umakini wa jeshi letu.
Kweli kbsLissu ni mwanaume wa shoka. duh..
Nitashangazwa na povu la boya wa lumumba polepole kuita press kunena pumbaSasa kama mhusika anasema ivo nitashangazwa na Povu la mbowe kutafuta kiki za Ajabu
Wewe kilikuwa kinakuuma nini iliposemekana Lisu aliwatambua waliomshambulia? Whether alikuwa anaituhumu serikali au individuals wasiwasi wako ulikuwa ni nini? uchunguzi huru si ungetengua kitendawili hicho? Punguani hueleweki kabisa.Unajifariji
Mboe alisema ni ccmWewe kilikuwa kinakuuma nini iliposemekana Lisu aliwatambua waliomshambulia? Whether alikuwa anaituhumu serikali au individuals wasiwasi wako ulikuwa ni nini? uchunguzi huru si ungetengua kitendawili hicho? Punguani hueleweki kabisa.