Mboe anahusika??Nimeongea na makada wa juu wa chama chakavu na bila kumungunya maneno wala kupepesa macho wamekiri kuwa mwenyekiti anahusika kwa namna moja ama nyengine na shambulio hilo
Kawasaidie polisi, wape na vielelezo.Mbowe ndio ameshushuka sio au?
Halafu ndie anayejua wenzake waliohusika.
Huwezi kusema unawajua bila ya kutoa ushahidi unaothibitisha unachokidai.
Mimi naamini kweli hawajui hao watu.
Ila pia naamini kuna anaowahisi kuwa ndo wahusika, kwa namna moja ama nyingine.
Suala la kujua linahusiana na ushahidi na uthibitishaji. Sasa anaweza kweli kuthibitisha endapo atasema huyu na yule ndo wahusika? Ngumu sana!
Mmekuwa wa kushinda macho juu mkisubiri ndondokela. Kwani humo wanaofaa wameisha? Ndo mlikofikia poleni sana.Mara paap Lisu katimkia CCM...900 itapendeza bavicha wote wataharisha siku hyo 😀😀😀😀😀
Dereva amefichwa na mboe..I agree with u 100%.
..TL angekuwa ameshambuliwa na rafiki yake, jirani yake, ...ndiyo angeweza kusema kwa hakika kabisa anamfahamu aliyemshambulia.
..vinginevyo alichokisema TL ndiyo ukweli wenyewe ila wa-Tz hatutaki kukubaliana nao.
..lakini pia sijui kwanini wahusika hawaonyeshi kuwa na interest ya kujua kilichomo kwenye CCTV cameras za Mh.Kalemani.
..waTz tumekuwa kama jamii ya watu tusiopenda kujua ukweli. Jinsi baadhi ya wa-Tz wenzatu wanavyo-behave ni sawa na kuniambia Wamarekani kutokuwa na interest pale ilipogundulika kwamba kuna "Nixon/White House tapes" wakati wa kashfa ya Watergate.
..binafsi nilitegemea kuwa CCTV cameras zitachunguzwa, tena kwa kuhusisha a third and independent party, na baada ya hapo tutaelezwa kama kuna ushahidi relevant na tukio lile au la.
..maelezo ya dereva hayatakuwa na tofauti sana na maelezo ya TL. na sidhani kama ni ya msaada mkubwa kwa Polisi.
Dereva amefichwa na mboe
Kwa hiyo kwa akili yako pevu mkuu kila anayefuatiliwa na watu wasiojulikana anafuatiliwa na serikali ya JMT!!??? Common sense is not common to some folks at times.Maswa 1 , Siyabonga101 , dudus,
Lissu alisema wiki tatu kabla ya shambulio hilo alilalamika hadharani kwamba anafuatiliwa kila anapokwenda na siku moja aliwasimamisha watu hao katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro na kuwauliza sababu za kufanya hivyo.
“Niliwauliza kwa nini wananifuata na kama kuna mtu kawatuma, mwambieni mimi si mhalifu. Lakini sikupewa ulinzi wowote,” alisema.
..I agree with u 100%.
..TL angekuwa ameshambuliwa na rafiki yake, jirani yake, ...ndiyo angeweza kusema kwa hakika kabisa anamfahamu aliyemshambulia.
..vinginevyo alichokisema TL ndiyo ukweli wenyewe ila wa-Tz hatutaki kukubaliana nao.
..lakini pia sijui kwanini wahusika hawaonyeshi kuwa na interest ya kujua kilichomo kwenye CCTV cameras za Mh.Kalemani.
..waTz tumekuwa kama jamii ya watu tusiopenda kujua ukweli. Jinsi baadhi ya wa-Tz wenzatu wanavyo-behave ni sawa na kuniambia Wamarekani kutokuwa na interest pale ilipogundulika kwamba kuna "Nixon/White House tapes" wakati wa kashfa ya Watergate.
..binafsi nilitegemea kuwa CCTV cameras zitachunguzwa, tena kwa kuhusisha a third and independent party, na baada ya hapo tutaelezwa kama kuna ushahidi relevant na tukio lile au la.
..maelezo ya dereva hayatakuwa na tofauti sana na maelezo ya TL. na sidhani kama ni ya msaada mkubwa kwa Polisi.
Kwa hiyo kwa akili yako pevu mkuu kila anayefuatiliwa na watu wasiojulikana anafuatiliwa na serikali ya JMT!!??? Common sense is not common to some folks at times.
Kama anawajua waliomfuatilia au aliowatuma hao wafuatiliaji angewataja kwa majina. Till then propaganda za Kiki Hazina nafasi katika awamu hii mkuu. Stay focus.
Ila hizi CCTVs za kibongo zinafanyaga kazi kweli?
Akihojiwa jioni hii, mbunge Tundulisu amelilaumu sana bunge kwa kumtelekeza bila matibabu.