Umekosa damu muumiani we utajifunza kunywa majiAlivyosema anarudi mkakenua meno na kumuita shujaa na tshirt za lissu welcome back mkauziwa.
Leo kasema harudi mnakenua tena, nyie ni zaidi ya minyumbu
Umekosa damu muumiani we utajifunza kunywa majiAlivyosema anarudi mkakenua meno na kumuita shujaa na tshirt za lissu welcome back mkauziwa.
Leo kasema harudi mnakenua tena, nyie ni zaidi ya minyumbu
You wishTulijua tangia siku nyingi kwamba harudi. Ni baada ya kutemwa na mabwana zake. Hawana kazi naye tena! Kwa akili zake nilifikiri Lissu anayajua hayo. To them- he is a toilet tissue. He was used now discarded, he is in a bad situation than Mr. Kambona.
Box kwa wasio na elimu kuna ma lawyer ma GP,na kadhalika elimu yako tu. Usifikiri wote walioko ulaya ni wabeba box unaotaMi nilijua ile mitusi na kashfa alizomwaga ilikua mbinu tu ya kuomba ukimbizi.
Karibu kwenye box mheshimiwa huko nako miaka 5 tu utanyooka.
Hamna longolongo huko.
Wabongo malimbukeni kweli mnashangaa na mambo ya kawaida tulitakiwa tuwe nayo miaka30 iliyopita . Kweli washamba kama rais wetu. Kwahiyo kwa washamba wetu hatujali uhai au watu wanakula nini sisi tunafikiria hedge ambao ni 1% ya wstanzania watapandaApambane against nini? Against SGR, STIGLERS GORGE, FLY OVERS, NDEGE, BARABARA ZA LAMI TANZANIA NZIMA, MELI TANO: NYASA, TANGANYIKA NA VICTORIA, UPANUZI WA BANDARI: DAR, TANGA NA MTWARA, MABASI YA MWENDO KASI, COMMUTER TRAIN, REA UMEME VIJIJINI, UDHIBIT WA RASILIMALI ZETU, UVUVI HOLELA, MIGOGORO YA ARDHI, NIDHAM KWA WATUMISHI WA SERIKALI, HOSPTALI, ELIMU BURE, VIWANJA VYA NDEGE, RELI YA ARUSHA, TERMINAL III AIR PORT DAR, VIWANDA, UCHUMI WA KATI, AMANI, KUTOKOMEZWA KWA RUSHWA na kadhalika na kadhalika?
kuna lugha hapo we bwege,uadhani huko aliko hamna malawyer?wapo na ni wazawa na wana hicho kipaji na upeo na lugha hiyo wanaiongea km kiswahili.Box kwa wasio na elimu kuna ma lawyer ma GP,na kadhalika elimu yako tu. Usifikiri wote walioko ulaya ni wabeba box unaota
Hayo yote mjerumani alishafanya ccm ikaviua kama inavyoua mwendokasi sasa hivi.Apambane against nini? Against SGR, STIGLERS GORGE, FLY OVERS, NDEGE, BARABARA ZA LAMI TANZANIA NZIMA, MELI TANO: NYASA, TANGANYIKA NA VICTORIA, UPANUZI WA BANDARI: DAR, TANGA NA MTWARA, MABASI YA MWENDO KASI, COMMUTER TRAIN, REA UMEME VIJIJINI, UDHIBIT WA RASILIMALI ZETU, UVUVI HOLELA, MIGOGORO YA ARDHI, NIDHAM KWA WATUMISHI WA SERIKALI, HOSPTALI, ELIMU BURE, VIWANJA VYA NDEGE, RELI YA ARUSHA, TERMINAL III AIR PORT DAR, VIWANDA, UCHUMI WA KATI, AMANI, KUTOKOMEZWA KWA RUSHWA na kadhalika na kadhalika?
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Inawezekana huwa mnachagua ya kusikia na kuyasemea ambayo yanatukuza upumbavu wenu! Nani mwenye dhamana ya kulinda raia? Unauliza nani wa kumhakikishia usalama wakati yeye amemtaja!!! Amesema hawezi kuwa rais daima, hii sentensi inamaana gani?Nani amhakikishie?
Chama chake au vyombo vya ulinzi asivyokuwa na imani navyo?
Zile kauli za "Narudi nyumbani kupambana" naona zimeisha,sasa anaongea uhalisia.
Siyo kweli, usishuhudie uongo! Amesema usalama wake una mashaka. Siyo kuwa wamemfuata ughaibuni!Kufuatia taarifa za wasiojulikana kumfuata Lissu ughaibuni ashtuka aaihirisha kuja nchini ajipanga zaidi kwa siku zijazo. Shetani hana rafiki. Mungu atamlinda dhidi ya wabaya wake. Source idhaa ya Kiswahili BBC, India.