zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,081
- 28,742
hajaongea kingereza kibovu popote pale zaidi amesahau KIUNGANISHITime gonna tell. Lakini pia nishangae ya Lissu. Mbali na kutumia kiingereza kibovu kwenye tweeter yake pia sijafahamu kama kweli anadhamira ya dhati ya alichoki wonder. Tundu hajawahi hata kuonyesha kuunga mkono anachotenda Rais zaidi ya kupinga. Tundu hajawahi kuona kazi yoyote nzuri ya polisi au takukuru katika nchi hii. Leo anashangaa kwanini hawajamkamata Ngeleja! Sina uhakika iwapo asingeshangaa iwapo wangemkamata. Kwa kuwa kuna kila dalili kuwa Ngeleja atakuwa mikononi mwa dola siku zijazo, ni suala la muda na utunzaji tu wa kumbukumbu kuona ni nini huyu jamaa ataropoka kuhusu hilo!
Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
mbona unarukaruka boss, umeulizwa swali jibu swaliHiyo ni mada nyingine kabisa ambayo ina mjadala mpana na naheshim mawazo yako kuwa pengine wwe unaona sio hadhi yake ila shida yangu ni wwe kuleta upotoshaji humu eti tumepangisha!!! ni heri kma huju kitu ukae kimya tu maana mnapowadanganya watanzania kuna siku mtavuna mlichopanda nakumbuka nape aliwahi sema chadema ni ya kaskazini hku akisahau 2010 kaskazini ilienda ccm alivuna alichokipanda 2015 kwa ccm kufutwa rasmi kaskazini!! pia aliwahi sema magufuli ni rais wa uhakika sio majaribio siku anatumbuliwa ndio akajua eti rais ni dikteta
We vipi bana?
Atakamatwaje na anatoka Usukumani, mbona hivi vitu hamuelewagi?
Kwani hawezi kuongea kama mwanasheria anyetafsiri vifungu vya sheria ile ya utakatishaji fedha??? ama kaacha kuwa wakili cku hizi !funnyLissu kaongea akiongozwa na uchadema...kwanza ameshachuja wakili wa makanikia
nikuthibitishie without reasonable doubt?? yaani nakupa fact wewe unapinga?? unayeleta tuhuma ndio unatakiwa ulete ushahidi au siku hizi ukitoa tuhuma basi aliyerushiwa tuhuma ndio alete ushahidi?? sheria ya wapi hiyo wwembona unarukaruka boss, umeulizwa swali jibu swali
na pia hata swala la umiliki bdo hujanithibitishia beyond reasonable doubt kwamba kile kijumba pale kinondoni chadema inakimiliki au imepanga
katika mazingira ya mjadala wetu burden of proof inaegemea kwako kwa maana me nimewasilisha hoja kwamba lile jengo cdm wamepanga na sio lao then wewe ukapinga kwa hyo ulipaswa utuambie kwann unapinga tena kwa kuthibitisha pasi na shaka kwamba mimi napotoshanikuthibitishie without reasonable doubt?? yaani nakupa fact wewe unapinga?? unayeleta tuhuma ndio unatakiwa ulete ushahidi au siku hizi ukitoa tuhuma basi aliyerushiwa tuhuma ndio alete ushahidi?? sheria ya wapi hiyo wwe
anyway ingia kwa tumaini makene alipandisha thread humu inayoainisha umiliki wa jengo la chadema toka 2012
muhim mkuu acha upotoshaji ulishasema jengo sio mali ya chadema ghafla unaulizia hadhi ndio nni hiko??? grow up
MKUU weka kifungu ili maswali yasizidiNgeleja mara baada ya press alipaswa mara moja kutiwa pingu na kupelekwa central. kwa hili PCCB na polisi wanapaswa laumiwa.
hiii haitabadilisha msimamo wanawanchi wameshaamuaMbona hajazungumzia kutokamatwa kwa Lowasa hadi sasa. Au ukiwa mwanachama wa cdm hutakiwi kukamatwa. Na anaishangaa hii kauli yake??
View attachment 539154
Kwani Lissu & Co walisema hela ni za umma au sio za umma? hao presdaa wako na wakata mauno wenzio si ndo mlikuwa mnagalagala vumbini na kushangilia hela sio za umma??I kinda wonder the same too......
But, does that mean Lissu supports the president's efforts in the war against graft?
B4 answering your question ulitakiwa kujiuliza, wakati wa sakata hili la Escrow linaendelea pale bungeni, ni UPI ulikua msimamo wa Tundu kuhusu hizo PESA!?
Fanya tu reference ya ulicho uliza kule ili twende sambamba! Hakuna cha mujibu wa mtu, jibu mwenyewe tu.Nilitakiwa kujiuliza hivyo kwa mujibu wa nani?
Fanya tu reference ya ulicho uliza kule ili twende sambamba! Hakuna cha mujibu wa mtu, jibu mwenyewe tu.
Mkuu katafuta sheria ya utumishi wa uma inasema jeAkamatwe kwa kosa lipi??
Kwani kuna saini yake au alisaidia kwa njia yoyote katika kuzitoa pesa toka escrow account??