mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
bibie unatumia kilevi gani vile?
Sina uhakika kama 🥛ni kilevi
bibie unatumia kilevi gani vile?
Sina uhakika kama ni kilevi
Anajifanya mjuaji sanaJamaa anajua kuwakera polisi huyu, na anawakera kisawasawa. Akiona IGP Sirro amekaa kwa amani siku mbili tatu, anachomoa betri.
Kwani Hamza alifufuliwa ili atoe ushirikiano kwa polisi kukamilisha uchunguzi ya kuwa yeye hamza ni gaidi mfia dini?Tundu anatukwamisha sana kwenye jambo lake lile..... aje kila kitu kikae sehemu yake maana tulishaambiwa hakuna police wa Tanzania anaweza fanya kile kitendo akabaki salama kazini
Nguvu anazotumia kuongea angeziweka kwenye vitendo Tanzania ingeelewa
Vinginevyo kwa haya maneno yake kila kuchwao sasa anaonekana bingwa wa mipasho kama yule anayejiita Dr Kumbuka
basi unamsongo wa mawazo sio bure
Anajifanya mjuaji sana
yeye anataka respwct wakati hatoi respect
he is kind of a diva
Kwani Hamza alifufuliwa ili atoe ushirikiano kwa polisi kukamilisha uchunguzi ya kuwa yeye hamza ni gaidi mfia dini?
Mwenye msongo ni wewe unayetafuta haki kwa kurusha maneno mitandaoni. Hivi mnajielewaga kweli
Au wewe ndio yule anayejiita Dr Kumbuka
Imekuchoma eeeehumepanic mkuu?
Watu washachoka na maneno yasiyokua na actions. Mtu ameumizwa, watanzania wakaumia kwa jambo lake halafu hatoi ushirikiano ili mambo yawe wazi!? Ana maana gani
Siku zinavyozidi kwenda Tundu analazimisha watu wenye akili wamuwazie vitu vingine....
Na ataishia kuonekana kama huyu jamaa
👣👣👣👣👣👣👣👣
Imekuchoma eeeeh
Pole mwayego
Ndio ukweli mchungu mnaoukwepakwepa huo hangaikeni nao
Kama karma ilivyomtafuna wa chatto basi kuna siku kila kitu kitakuwa wazi ni swala la mda tu, makaburi yote yaliyofukiwa yatafukuliwa,
Kama kifo ni karma basi unataka kutuambia huyo karma aliamua aanze na kumtafuna Maalim Seif ndio baadae aende chatto eeeeh
Halafu sijui na wewe karma anakufikia lini maana na wewe utakufa tuu hauna ujanja
Kama wewe ni polisi kwa nini usihamasishe polisi kufanya yao kwa Mujibu was sheria na kupambana na wahalifu, Huku wanasiasa wakiachwa wakipambana kwa hoja!?Watu wenye matamanio ya kufanya uhalifu lazima wawachukie polisi wazuri, iko hivyo siku zote maana wanajua ni kikwazo kwao. Na huyu Lissu alifanya juhudi nyingi kujaribu kuwaprovoke polisi na watu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa kampeni zake 2020, lakini aliambulia patupu/olaa. Walienda naye mdogo mdogo hadi dakika za majeruhi wakampitia na ule mtama unakufanya uangukie kisogo au kidefu. Mengine ni historia.
Maalimu Seifu alisababisha wafuasi wake wengi kupata mateso na matatizo, Ghafla akaunga juhudi apate ulaji!! Unafikiria karma itakuacha bure bure!!!Kama kifo ni karma basi unataka kutuambia huyo karma aliamua aanze na kumtafuna Maalim Seif ndio baadae aende chatto eeeeh🙄🙄🙄
Halafu sijui na wewe karma anakufikia lini maana na wewe utakufa tuu hauna ujanja😂😂😂
Kapike uji unye akili zikurudi 😂 😂 😂Tundu anatukwamisha sana kwenye jambo lake lile..... aje kila kitu kikae sehemu yake maana tulishaambiwa hakuna police wa Tanzania anaweza fanya kile kitendo akabaki salama kazini
Nguvu anazotumia kuongea angeziweka kwenye vitendo Tanzania ingeelewa
Vinginevyo kwa haya maneno yake kila kuchwao sasa anaonekana bingwa wa mipasho kama yule anayejiita Dr Kumbuka
Akina Hamza mnahaha. Sio kila kitu lazma ukoment😅Yaani mada inayomhusu Lisu hadi sasa kurasa ya pili tu? Ha ha ha jamaa ameshaporomoka, ingawa makamanda uchwara hawapendi kukubali.
Kwa kuwatisha maisha. Kuwaachisha kazi au hata kutowapa stahiki zao za kisheriaPolice wa Tanzania ni waelewa sana ila hawa CCM ndiyo wanawavuruga kifikra.