Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Mandela mwenywe na busara yake kuu, kuna wakati aliamua kutumia mabomu dhidi ya makaburu. Wewe ongea peaceful means kwa CCM ya Magufuli uone kama utapata kitu 2020.
Jifanye kama Mandela basi anza kutumia mabomu, sio kukaa na kusema sema hovyo hapa. Unataka kumtisha nani?Mandela mwenywe na busara yake kuu, kuna wakati aliamua kutumia mabomu dhidi ya makaburu. Wewe ongea peaceful means kwa CCM ya Magufuli uone kama utapata kitu 2020.
kwakweli!Kweli, Wanajaribu mbinu zote za kunyong'onyesha mwili, akili na roho ili Wapinzani wagive up!
HAKUNA KUGIVE UP, ni kushiriki mwanzo mwisho ili Wananchi wajionee kwa macho yao bila kuhadithiwa udhalimu, uoga na ushenzi wa Fisiemu. Hii itasaidia kujenga cadre ya watu ambao siku wakisema enough is enough basi itakuwa enough kwelikweli!
Acha Fisiem kwa udhalimu wao na kiburi chao waendelee kujaza kikombe cha ghadhabu za wananchi, Siku watakapolazimishwa kukinywea hakuna atakayewaonea huruma au kuwafuta machozi!
HAKUNA KUJITOA KATIKA CHAGUZI, WACHA FISIEMU WAFANYE WANAYOFANYA ILI WANANCHI WAJIONEE WENYEWE!
Mpumbavu!waliomshambulia TL wamepata walichokitaka,walitaka kuipiga sehemu ya ubongo inayohusika na reasoning ili jamaa hashindwe kujenga hoja,sijaona kitu cha muhimu alichoongea jamaa tokea aende Nairobi then Brussels.MBOWE SIO MTU
Technology si lazima uwepo eneo la tukio,sawa na wwe ulivokuwa ukiuchambua mpira worldcup urusi ukiwa bongoAjabu kwa kweli mtu aliyepo kwenye matibabu nje ya nchi eti ndio anona anaujua ukweli kuliko waliokuwepo eneo la tukio. Halafu hii mindset ya kuona Chadema haikoseagi hata siku moja ndio inayowamaliza kila siku.
Mbeya wameambiwa wahamishe familia zao sijui hofu ya nini.Bila kukata kichwa cha DED wa CCM CHADEMA mwaka 2020 mtachekea chooni!! Fanyeni kitu ambacho kitakuwa fundisho kwa wengine!!
Weupe sana sema wanategemea polis na kitu kingine walishajipanga haya na wana jua hakuna cha kuwatisha kumbuka pale mwanzo uhakiki wa silaha ulifanywa nchi nzima wee unafikiri ilikuwa lengo gani kufanya vileDawa ni kufanya maamuzi magumu.
Bila na wao kupata misukosuko, kamwe hawawezi kuja kwenye meza ya mazungumzo wala kuona umuhimu wa kutusikiliza(these people are callous and therefore they are enjoying what they are doing).
In short, this regime is worse and needs special treatment(they deserve similar treatment).
Mkuu kumbe upo pole na safariAdui wetu ni yule mzee mwenye bichwa bovuuuu
Labda ndo maelekezo waliyopewa hata ccm walirudisha siku hio hioTuanze na ufafanuzi huu wa Lissu. "Mgombea anatakiwa kuwasilisha fomu ya uteuzi kabla ya saa kumi, SIKU MOJA kabla ya SIKU YA UTEUZI"
Rejea clip ya kiongozi wa kanda Chadema, kwa nini wagombea walirudisha fomu Siku ya uteuzi na si siku moja kabla ya siku hiyo?
Endelea kumtufukisha Mtukufu Jiwe hakoseagiAjabu kwa kweli mtu aliyepo kwenye matibabu nje ya nchi eti ndio anona anaujua ukweli kuliko waliokuwepo eneo la tukio. Halafu hii mindset ya kuona Chadema haikoseagi hata siku moja ndio inayowamaliza kila siku.
Siku akikalia Magogoni ndiyo utajua ni diaspora au la.