CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 467
Sijui kama mlishaga stuka kua Lisu ni mpenda sifa hapa nchini...watu wengi hawajawahi kumgundua.kujifanya kujua kwingi ni njia anayoitumia kutaka sifa.sisi tunajua kuna wanasheria wazuli kuliko hata yeye na hua wapo kimya tu.
Lakini lisu sio mwanasheria pekeyake. Yeye nimwanasheria na mwanasiasa. Na mwanasiasa yeyote lazima aongee ndio afanikiwe. Lisu anafanya siasa kwa kutumia sheria na hakuna kosa maana watu wengi wanajifunza kutoka kwake wakati unaona anataka sifa