Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,857
Kusema mtu anawaza kama "nyumbu" ni tusi na sio fact kwamba haijawahi kuwa mwanasheria wao? Kwani alichokuwa anaongea hadharani kuwatete alikuwa anafanya hivyo kama Mwanasheria wao au mwanasiasa, naomba unieleweshe inawezekana in this instance Mimi nimefikiria au kuandika kama "nyumbu"
Sasa Kama jibu unalo kwamba alikuwa Wakili, suala la siasa hapo linakujaje na tusi juu?