Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Kinacho nishangaza mm nikwamba Mafisadi wapo ndani ya Ccm kira kukicha tunasikia wanafukuzwa na hawaishi lakini pia hawapelekwi mahakani nadhani hakuna hata msafi mmoja
ila vijana wa Rumumba hawaoni hilo serekali niyao nawanaoingia mikataba mibovu niwao halafu wanakaa kwenyetivi na kusema kunawatu mafisadi wakati ni wao we nyewe
Unasubiri mafisadi kuisha CCM mkuu? Unapoteza muda wako. Jiulize tangu magufuli aingie madarakani amewafukuza wangapi na bado anaendelea kila siku.lakini hawaishi. Jaribu kushangaa
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..

Ukiachia kwamba Tindu Lissu anajibu kwa jazba na lugha ya kuuzi lakini hana tofauti sana na lugha za mkulu, ila ana hoja ya msingi. Ni ukweli kwenye hiyo mikataba tunaibiwa na yeye Lissu alipiga kelele tena ya dhahiri juu ya wizi huu. Lakini hakuna mahali popote ambapo Magufuli aliwahi kupinga kuhusu hii mikataba licha ya kuwa mwanaccm, mbunge na waziri katika serekali zote mbili zilizopita ambazo ndio zimeingiza nchi hii kwenye huo wizi. Tumpongeze Magufuli kwa kuthubutu kuchukua hatua sasa japo anapaswa kuchukua hatua zaidi ya kupitia upya mikataba hii, na ikibidi mikataba hiyo ipelekwe bungeni ikapitiwe upya kwani ccm ndio iliyoshabikia mikataba hii kuwa ya siri hatimaye kujikuta tunapigwa.

Unapounga mkono hicho kiasi tunachopata bado nakuuona ni mpuuzi fulani, haiwezekani nchi yetu ikawa inapata mrahaba wa 3% eti useme ni sawa kisa wabunge na viongozi waandamizi wa ccm walipitisha mikataba hiyo. Kuliko kupata 3% kama mrabaha ni bora hayo madini yasichimbwe mpaka wenye uwezo wa kuyachimba kwa faida watakapozaliwa. Mbona Nyerere amekaa kwenye urais wa nchi hii kuliko mtanzania yeyote na wala hakuwa na pupa ya kuyachimba hayo madini?
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa tunaibiwa lakini tunaibiwa kihalali na kisheria, maana mikataba yetu tuliyoingia na hawa wazungu ni kwamba wabebe kila kitu waende nacho. Zitto Kabwe alifukuzwa mpaka bungeni kwa sababu ya kutetea rasilimali ya madini, Tundu Lissu amefungwa mara kadhaa kwa sababu ya kutetea madini yetu yasiibiwe. Mikataba hii ya madini yote ilisainiwa kipindi Magufuli akiwa serikalini hajawahi kuonesha makali yoyote eti leo ndiyo mzalendo?
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Hata shetani anakuogopa.
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Mtalipishwa sana tena sana mpaka mtaona aibu haiwezekani hii nchi ikawa inaendeshwa kwa mikurupuko. Sheria inasema nini kuhusu hiyo mikataba? Unafikiri hayo madini ni yetu? Hata ukiambiwa yapo gram ngapi unafikiri yatabaki hapa bongo?
 
Hivi mnapomtukana Lisu mnaona hiyo mikataba ya madini ni sawa? Kama leo wewe una shamba lako halafu akaja mtu akakwambia amegundua shambani kwako kuna dhahabu na atakusaidia kuichimba lakini katika dhahabu atakayouza atakupa wewe mwenye shamba lenye dhahabu shilingi ELFU NNE TU katika kila shilingi LAKI MOJA utakubali? Mnaona ni sawa hawa wawekezaji wa madini watulipe kiasi kidogo hivyo?
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
unaambiwa kwa viwango vya tume acacia ni ya tatu duniani kwa uzalishaji wa dhahabu bado unaamini hiyo ripoti?
mi najipa muda kuamini
 
Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria

Soma alichokiandika Lissu na ujue jinsi tunavyoibiwa. Usikimbilie kuandika
 
kwa kweli naona ile mbegu tayari inamea, ukisema kitu tofauti na mawazo ya mkulu, bhasi inaonekana unampinga juhudi zake, hakuna MTU anayochukia, Ila watu wanatoa ushauri no nini tufanye ili kuepuka hasara mbeleni kisheria, yaani siku hizi ukishauri kitu unakua kama msaliti flan hivi, hii sio nzuri ndio maana kuna lugha humu zinatumia maneno ya kuudhi
 
Back
Top Bottom