Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,919
- 8,609
toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..?
Tuliza mshono Mkuu nikujuze, kwani mazishi ya Balali nani aliamua utaratibu wa mazishi,.??? wewe hadi leo umewahi kuona kaburi lake
toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..?
lisu anachosha sana hatuli hatulali kila saa lisu hivi lisu vile
Wewe mbona uwezo wako unaishia humu humu jukwaani tu?.
Acheni mawazo ya kipunguani, kwa hiyo wale wote waliopoteza maisha kibiti na maeneo mengine ya mkoa wa pwani sio muhimu kulinganisha na majeruhi mmoja?.We bwege huko kibiti CCTV cameras nazo ziliondolewa?
Sisi hakuna cha pesa huku ni kukipigania chama na serikali , sijui labda nyie wenzetu huko upande wa pili mnalipwa?unapokea buku ngapi kwa mwezi?
Naona hatuelewani.siku njemaAcheni mawazo ya kipunguani, kwa hiyo wale wote waliopoteza maisha kibiti na maeneo mengine ya mkoa wa pwani sio muhimu kulinganisha na majeruhi mmoja?.
Ni straight ndugu kada, siyo huo upuuzi ulioandika hapo.Huyu anaongea hadi anapitiliza..mwisho watu watamzoea kuwa ana chuki na magufuli sababu anawanyoosha..
Huwezi kumtuhumu Magu kila kitu wakati kuna taasisi zinazoshughulika.
Huyo Magu atoe oda upelekwe kijijini kwani we huna ndugu..toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..? Kwani kuna ndege inatoka streight from belgium mpaka huko ikungi??
Ndio maana nasema huyu ataongea mwisho watu watamuona mtu aliyepaniki tu..sababu anayoongea ni mengi na mepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hakuna cha pesa huku ni kukipigania chama na serikali , sijui labda nyie wenzetu huko upande wa pili mnalipwa?
Ulitegemea amshangilie Jiwe kwa turisasi 38 tu?Huyu anaongea hadi anapitiliza..mwisho watu watamzoea kuwa ana chuki na magufuli sababu anawanyoosha..
Huwezi kumtuhumu Magu kila kitu wakati kuna taasisi zinazoshughulika.
Huyo Magu atoe oda upelekwe kijijini kwani we huna ndugu..toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..? Kwani kuna ndege inatoka streight from belgium mpaka huko ikungi??
Ndio maana nasema huyu ataongea mwisho watu watamuona mtu aliyepaniki tu..sababu anayoongea ni mengi na mepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app