Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Kama ni kufa watanzania kila Siku wanakufa.uelewe na scenario ya jaribio la kumuua lissu. Mtu ameshambuliwa kwenye eneo lenye ulinzi wa kutosha na camera za CCTV, kwenye makazi ya naibu spika na mawaziri wa serikali.hilo halikushtui? Hivyo vichwa mnafugia nywele tu ubongo wa kukuWewe usie kuwa bwege wale wa kibiti hawakuwa Watanzania? Au wao walistahili kuuwawa! Au kujeruhiwa.?
Kutokuwepo kwa Cctv camera kunaondoa ukweli wa madhira yaliyotokea?
Sent using Jamii Forums mobile app