Tundu Lissu ni Magufuli aliyechangamka

Tundu Lissu ni Magufuli aliyechangamka

JPM alimjua na alimnyoosha
Tundu bhana hahaha akabaki analilia makinikia haha
Mungu akamnyoosha mwendazake sasa hivi yupo jehanam 🔥 📛 akiwa katibu muhtasi wa Lucifer
 
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam,
0755078854

-Bachelor of business administration in international business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publications;-
-Assessment on the effects of microfinancing on Poverty reduction.
😁😁😁aiseeee!
 
Nimesema sana na sitachoka kurudia tena na tena. Tafadhali sana Mwamba Magufuli asilinganishwe na vitu vya kishenzi na vya kipumbavu!! Tafadhali sana!!
umeisema kwa uchungu mkali sana. na mim nitoe langu. kwa mwandish jins alivomalizia lisu hawez kuwa magu labda labda .wapo akiba ya vijana ndan ya ccm ambao wakipewa rungu magu huyu hapa.mfano Polepole, makonda na majaliwa.hivyo vyuma ni bas tu ila ni namba ngumu sana hizo
 
Kazi Na Utu,Tunasonga Ugali Wacha Itengenezwe Mboga Yoyote Ya Majani Lakini Tulipendekeza Jani Korofi,,Tunakuja Na Rosti Ya Kitimoto Kupooza Mwili Na Kuleta Umateumate Kwenye Ndimi Za Walaji Haswa...
 
Nimesema sana na sitachoka kurudia tena na tena. Tafadhali sana Mwamba Magufuli asilinganishwe na vitu vya kishenzi na vya kipumbavu!! Tafadhali sana!!
Dogo endelea kusoma, huu mjadala hauhitaji watoto wa shule
 
Yeye ni jizi namba moja. Mwanasheria aliyeungana na wageni kutengeneza mikataba ya kuliibia taifa madini

Ni mnafiki tuu na
Hana uzalendo hata 0.00001%
mama D hapa umechemka mama
 
Yeye ni jizi namba moja. Mwanasheria aliyeungana na wageni kutengeneza mikataba ya kuliibia taifa madini

Ni mnafiki tuu na
Hana uzalendo hata 0.00001%
Kumbe kuna Muda Mapepo yanaweza kumvamia Mchungaji.
 
Lissu hana uzalendo wowote mfano ! Familia yake inaishi belgeium huo ni uzalendo kweli
 
pole kwa kutype ujinga
Magufuri aliyesema wapnzan wanatuchelewesha akavuruga uchaguz ili nchi iwe ya chama kmoja at last leo ndo haya tuyaonayo, magu aliyekuwa akfka kwny majmbo ya wapnzan anawananga watz kwmb wakiwachagua hawatapata maendeleo akasahau majmbo mengi yalikuwa yako chn ya chama chake na hakukuwa na maendeleo hayo aliyokuwa anayasema, magu wa kuzuia mapanki ya madini wkt minofu ya madini ikawa inaenda ulaya kama kawa au mwngne, uzalendo wa kudanganya watz anatumia pesa za ndan wkt ni mikopo na misaada au mwngne, bwawa la nyerere lina msaada gn ikiwa bei ya umeme ni ileile, tunaanza nunua umeme ethiopia, umeme wa mgao, SGR hasara tu hakuna faida, ndege hasara hakuna faida huu si ni upuuz huu.
 
Mungu hanyooshi watu unavyodhania
Kifo ni ahadi hata wewe utakufa
Mungu fundi alietaka atawale miaka 30 akatawala miaka 5 leo Iisu anaishi muuaji mwendazake katangulia kufa. Kutoa uhai wa mtu muachieni Mungu shenzi taypu
 
Back
Top Bottom