Tundu Lissu ndiye mpinzani wa kweli, Mbowe katusaliti

Mie mwana CCM wala sifichi.
Lakini sishabikii kitu chochote kinachotokea ndani ya CHADEMA.
Nitakalounga mkono ndani ya vyama vyote, hata CCM ikiwemo, ni sera zinazojenga umoja wa kitaifa zinazoweza kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila mwananchi.
Simshabikii Mbowe wala Lissu au Magufuli ikiwa sera wanazozitekeleza hazina tija kwa taifa.

Ndiyo maana nimempinga Magufuli katika suala la kesi ya Mbowe maana inakiuka imani za mwana CCM kuwa binadamu yeyote ni ndugu yangu.
Magufuli yupi unayeendelea kumpinga wewe?
 
Nchi hii hakuna mpinzani wa kweli
Kwa kiingereza, hiyo fikra tunaita ni fallacy.

Ni kama kuhitimisha kuwa “nchi hii hakuna msomi wa kweli” au “nchi hii hakuna genius”.

Be careful, labda kama unasema hivyo katika maudhui ya propaganda za kisiasa.
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Umetumwa hutashinda Kiache chadema peke yake.
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Mafia yako
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
imekaa kama kiuchonganishi vile ila ngoja niifanyie kazi
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Wewe ni mjinga sana na mpumbavu.

Lengo kako la kuwachonganisha viongizi wa CHADEMA wa juu, na kuwapotosha wanachama haliwezi kufua dafu.

Sasa wewe endelea na ufisi mkono wa mwanadsmu hauanguki kihivyo.

CHADEMA ni familia ni imara leo kuliko jana na Mungu anaipigania.
 
Huwa nawashangaa sana ambao huwa mnatokwa na mishipa ya shingo na kutoa mapovu eti mnapigania hawa wanasiasa wetu hawa uchwara. Labda kama huwa mnafaidika kwa namna moja au nyingine...

Wewe unamlaumu Mbowe mtu aliyekaa miezi minane gerezani tena bila kosa. Wewe hapo si ajabu hata mahabusu tu hukujui. Inafika mahali, hasa katika jamii yetu hii ambayo hata haijui inachotaka, mtu inabidi aangalie maslahi yake binafsi na familia yake. Vinginevyo unaweza kufia kibudu gerezani.

Mbowe ni kamanda wa kweli na anazijua siasa tena zile za kistaarabu zisizo na uanaharakati mkali ambao wakati mwingine hauna tija. Na mimi namwombea aendelee kukalia hicho kiti cha uenyekiti mpaka atakapochoka mwenyewe....

Pipooooziii!
Si sahihi kusema Mbowe alikaa mahabusu (siyo gerezani) miezi minane bila kosa. Mahakama ilitamka ana kesi ya kujibu. Maana yake ni kwamba kuna ushahidi wa kutosha kwamba kosa lilitendeka. Kwamba DPP aliamua kutoendelea na kesi ni jambo jingine ambalo anaweza kujibu DPP tu.
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Kwa maana hiyo Tanzania nzima kiongozi mwenye msimamo yupo CHADEMA. Unatakiwa uwaunge mkono maana hata Mbowe anaongozwa na Katiba ya chama chao
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period

unatumia akili ndogo sana kutengeneza kwa cdm mgogoro wa mawazo yako finyu, ambao haupo.

ungesema zitto, lipumba sio wapinzani, na wapo kwny payroll yetu, nahawajawahi kuteswa na misukosuko yeyote kama wenzao, ningekuelewa.

mbowe, lissu ni kitu kimoja.
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Pole kwa kukosa usingizi kwa sababu za chuki na wivu.
Nadhani wee ni Dr Mihogo Slaa hautafanikiwa kuivuruga CHADEMA. Tulia huko kwenu kijani waweza kupatiwa ukuu wa Wilaya.
 
TUONDOE USHABIKI, TUWEKE MASLAHI YA CHAMA.

Mbowe toka Maguful achukue nchi kipindi kile upepo ulikata. Gurudumu limebaki kwa Lissu na wenzie wachache.
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Tundu ni msaliti namba 1, jana nimesikiliza clip yake kwanini mbowe alifika Ikulu baada ya kuachiwa kabla ya hata nyumbani kwake akawa anatoa majibu ya utata utata mwisho akasema atakayefikiria vyovyote atakavyofikiria muache afikirie, hawa watu hakuna tena chama wala nini chadema imepigwa bei juu kwa juu, Mtanganyika hata umuone vipi kwenye hela anaweza ata kumuuza mama yake mzazi, kwisha kabisa habari yao

Miezi 8 tu jela kwa mbowe wameona bora wa-sarrende, washindwe vita, chadema hakuna kiongozi hata mmoja aliyeweza kuvumilia kama walivyokuwa wanasiasa wa Zanzibar kutokana na mateso halafu wakarudi wakawa strong, sasaivi Mbowe na Tundu Lissu ata uwape $ milioni 1 hawataweza kuinua midomo yao kumsema rais kama walivyokuwa awali.

chadema imekufa sana
 
Ni usiku wa manane naandika Habari hii maana sijalala kabisa huku nikiwa nasoma majarida mbalimbali ya wanaharakati duniani wenye misimamo mikali isiyotikisika Yesar Arafat, Kanali Gaddafi, a King, Malala, Fidel, Mohamed Kirumila na wengine wengi ni viongozi watakao dumu kwenye akili za wanadamu kwa kuwa na misimamo isiyonunulika kwa dola ya marekani.

Mpaka Sasa Tundu Lissu yupo kwenye kimya kizito maana hataki lawama, tangu atoke Freeman Mbowe hata kabla ya kuongea na viongozi wenzake wa Chama kina Lissu, Mnyika na Pambalu (kijana mwenye msimamo thabiti) alienda moja kwa moja kuonana na Rais huku akipata Chai ya Gold bila hata taarifa kutoka hedikota ya Chama.

Mbowe ni msaliti tena kaomba msamaha ili atoke kwenye kifungo

Naomba ieleweke kuwa, unapokuwa mwanasiasa wa jamii husika au mwanaharakati ni vyema zaidi uwe na roho inayotaka umauti mda wowote.

Bobi wine mwanasiasa kutoka Uganda alipokuwa kwenye kampeni za urais alikoswakoswa mara tatu kupigwa risasi za kichwa lakini kamwe hakusitisha mapambano mpaka Sasa.

Tundu lissu antipas ni roho sio mtu maana kama ni mwili wa nyama alichakazwa akiwa Dodoma zaidi ya risasi 32 zilisukumwa kwenye mwili wake lakini mpaka sasa anapambania wananchi sio yeye.

Mbowe toka CHADEMA, hapakufai tena period
Wewe ni Mr mpalange kumbe. Haya umeeleweka kapelekewe fire
 
Tundu ni msaliti namba 1, jana nimesikiliza clip yake kwanini mbowe alifika Ikulu baada ya kuachiwa kabla ya hata nyumbani kwake akawa anatoa majibu ya utata utata mwisho akasema atakayefikiria vyovyote atakavyofikiria muache afikirie, hawa watu hakuna tena chama wala nini chadema imepigwa bei juu kwa juu, Mtanganyika hata umuone vipi kwenye hela anaweza ata kumuuza mama yake mzazi, kwisha kabisa habari yao

Miezi 8 tu jela kwa mbowe wameona bora wa-sarrende, washindwe vita, chadema hakuna kiongozi hata mmoja aliyeweza kuvumilia kama walivyokuwa wanasiasa wa Zanzibar kutokana na mateso halafu wakarudi wakawa strong, sasaivi Mbowe na Tundu Lissu ata uwape $ milioni 1 hawataweza kuinua midomo yao kumsema rais kama walivyokuwa awali.

chadema imekufa sana
Tundu lissu ni mwamba imara huwezi kumnunua kwa vipande vya fedha
 
Back
Top Bottom