Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
- Thread starter
- #561
Leo Tarehe 7 Septembre, imetimia miaka 4 kamili tangu Tundu Lissu ashambuliwe na watu wasiojulikana ambao mpaka leo ni miaka 4, bado hawatajulikana.
Shambulio hilo lilifanyika mwezi mmoja na nusu baada ya bandiko hili. Kwa vile hakuna ajuaye sababu za kushambuliwa usikute...
Tumuombee Lissu afya njema na kwenye kuikumbuka siku hii, Mungu amuepushe kupata kitu kinachoitwa "stigimatta"
Pole sana Lissu, survival yako tuu ni muujiza, mwacheni Mungu aitwe Mungu, mengine yote mwachie Mungu.
P.
Shambulio hilo lilifanyika mwezi mmoja na nusu baada ya bandiko hili. Kwa vile hakuna ajuaye sababu za kushambuliwa usikute...
Tumuombee Lissu afya njema na kwenye kuikumbuka siku hii, Mungu amuepushe kupata kitu kinachoitwa "stigimatta"
Pole sana Lissu, survival yako tuu ni muujiza, mwacheni Mungu aitwe Mungu, mengine yote mwachie Mungu.
P.